Ultimate Solution Hub

юааmanjiюаб Awajaza ташfwezaтащ Wachezaji юааyangaюаб Aunda Na Kamati Mpya юааyaюа

Mwanaspoti kupitia vyanzo vyetu vya kuaminika limebaini baadhi ya mambo muhimu yanayojadiliwa kwenye vikao hivyo na vinavyoendelea vilivyokuwa vikihusisha viongozi, makocha na ya wachezaji kadhaa wa timu hiyo na hapa linakuchambulia baadhi ya maeneo yaliyopangwa kufumuliwa na kurejesha ubora wa simba. dewji anarudl. Dar es salaam. kikosi cha simba sc kimeondoka hapo jana jioni kuelekea nchini misri kipindi hichi kabla ya msimu mpya kuanza kwaajili ya maandalizi ya michuano ijayo katika ligi soka tanzania bara. haya hapa majina ya sehemu ya kikosi kilichofanikiwa kuondoka, huku baadhi wakisalia bado wakifuatilia taratibu za vibali vyao (passport).

Simba imesajili jumla ya wachezaji 13 wapya, saba wageni na sita wazawa. wachezaji wa kigeni ni jushua mutale, steven mukwala, jean charles ahoa, debora fernandes mavambo, augustine okajepha, valentin nouma na karaboue chamou. wazawa ni, lameck lawi, abdulrazack hamza, valentino mashaka, omari omari, kelvin kijili na yusuph kagoma. Kocha mpya azuia kambi ya simba…kuanza rasmi j3. ratiba ya simba kwa wachezaji kuanza kuripoti kambini kabla ya kusafiri kwenda misri ilitakiwa kuanza juni 27, kabla ya kikao cha leo cha wachezaji wote, benchi la fundi na muwekezaji na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi mohammed dewji. habari kutoka ndani ya simba zinasema, kambi ya simba ya. Taarifa ya usajili huo kutoka simba imesema kuwa imempa mkataba kiungo huyo kutokana na uwezo wa juu alionao uwanjani. "kagoma ni moja ya vijana wazawa wenye uwezo mkubwa wa kuzuia timu ikishambuliwa na kupandisha mashambulizi, uwezo wake na umri wake ndiyo vigezo vilivyotuvutia kutafuta saini yake," ilisema taarifa hiyo ya simba. Usajili mpya yanga unashtua, nabi akataa mastaa wa viongozi. alhamisi, julai 08, 2021. by thobias sebastian. reporter. mwananchi communications lmited. kocha wa yanga, nabi nasreddine amesema usajili mpya wa timu hiyo utakuwa na utofauti mkubwa na uliozoeleka na hatapokea mchezaji yoyote wa kuletewa na kiongozi bila kujadiliwa kwa kina.

Comments are closed.