Ultimate Solution Hub

Adhkar Nyiradi Za Asubuhi Na Jioni

Azkar za asubuhi na jioni In Katika Uislamu Youtube
Azkar za asubuhi na jioni In Katika Uislamu Youtube

Azkar Za Asubuhi Na Jioni In Katika Uislamu Youtube Atakae yasema haya kila asubuhi basi atakuwa ametekeleza shukurani ya siku nzima, na atakae yasema jioni atakuwa ametekeleza shukurani ya usiku mzima. [imepokewa na abuu daud na al nnasaai na ibnu sunniy na ibnu hibban.] اللهم عافني في بَدَني، اللهم عافني في سمعي، اللهم عافني في بصري، لا. Hiswnul muslim. 027 nyiradi za asubuhi na jioni. alhidaaya . bonyeza hapa usikilize. nyiradi za asubuhi na jioni. [1] asubuhi ni baada ya swalaah ya alfajiri mpaka jua kuchomoza. na jioni ni baada ya swalaah ya alasiri mpaka jua kuzama. ila baadhi ya ‘ulamaa wamesema kuwa baada ya jua kuzama na kuendelea.

2 nyiradi za asubuhi na jioni Youtube
2 nyiradi za asubuhi na jioni Youtube

2 Nyiradi Za Asubuhi Na Jioni Youtube Adhkar za asubuhi na jioni, nyiradi za asubuhi na jioni. (77 ) “tumeingia wakati wa asubuhi na umekuwa ufalme ni wa mwenyezi mungu, na sifa njema ni za mwenyezi “mungu, hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki, ila mwenyezi mungu, hali yakuwa peke yake, hana mshirika, niwake ufalme, nanizake sifa njema, nayeye juu yakila kitu ni mueza, ewe mola; nakuomba kheri ya siku ya leo, na kheri ya baada ya siku hii, nanina jilinda kwako, kutokana na shari ya. Atakae yasema hayo asubuhi au jioni mara nne, mwenyezi mungu (s.w) atamuepusha na moto. ewe mweneyezi mungu sikuamka na neema yoyote au kati ya kiumbe chako chochote, na neema ila inatoka kwako, hali ya kuwa peke yako huna mshirika wako, ni zako sifa njema na ni zako shukrani. atakaesema maneno hayo kila asubuhi basi atakuwa ametekeleza. Assalaam alaykumsubscribe channel yetu ili usipitwe na video hizi za nyiradi(adhkaar) za asubuhi na jioni.اشترك في قناتنا حتى لا تفوت فيديوهات أذكار الصباح.

Comments are closed.