Ultimate Solution Hub

Ally Kamwe Awatemea Cheche Simba Yanga Tunataka Tuwe Na Uwanja Jangwani Rais Samia Ni Mwananchi

Klabu ya yanga leo julai 15,2024 imefungua rasmi hamasa kuelekea wiki ya mwananchi ambapo mashabiki wa yanga wamejetikoze kwa wingi kuunga mkono jitihada za. Kamwe ameongeza kuwa muda wake umemalizika na anawashukuru sana. endelea kufuatilia mwanaspoti kwa taarifa zaidi. mwanaspoti. kata kiu ya michezo na burudani. ofisa habari ya yanga, ali kamwe amejiuzulu nafasi ya umeneja habari na mawasiliano wa yanga huku akitaja sababu ya kumaliza muda wake ikiwa ni muda mchache baada ya wana jangwani hao.

Meneja habari na mawasiliano wa klabu ya yanga ally kamwe amewashukuru wanachama na mashabiki kwa mapokezi makubwa mkoani kilimanjaro kuelekea katika zoezi l. Na ni hekima hii, inanituma mbele yenu wananchi, mashabiki na wanachama wa klabu yetu pendwa, kuwaambia kuwa, ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka jukwaani. nimesimama miaka miwili juu ya hili jukwaa, tumeimba, tumecheza, tumefurahi na alhamdulillah tumeshinda pamoja kila pambano lililokuja mbele yetu. muda wangu umemalizika na asanteni sana. 3m followers, 571 following, 2,895 posts ally kamwe (@alikamwe) on instagram: "@yangasc media & communications manager holds caf coaching license c". “mimi nafanya kazi na mtu yeyote yule, ofisa habari sio boss wa idara, narudi yanga sc kama msemaji wa klabu na interest yetu ni mpira na sio kwenda kuchukua kazi za watu. “niko tayari kuitumikia klabu yangu ya yanga, niliiacha nikiwa msemaji baada ya kufungiwa na bila shaka yanga wataniambia unakwenda kuwa nani, tusubiri viongozi, kamati ya utendaji irejee, hilo ni jukumu lao sio langu.

Comments are closed.