Ultimate Solution Hub

Ally Mayai Tembele Aipa Yanga Asilimia 30 Kufuzu Nusu Fainali Ya Kombe La Shirikisho Afrika

ally mayai tembele aipa yanga asilimia 30 kufuzu
ally mayai tembele aipa yanga asilimia 30 kufuzu

Ally Mayai Tembele Aipa Yanga Asilimia 30 Kufuzu Nairobi – young africans, maarufu kama yanga, ndio timu ya kwanza kutoka nchini tanzania kufuzu nusu fainali ya mashindano ya kuwania kombe la shirikisho barani afrika. imechapishwa: 01 05 2023. Azam fc imefuzu kwa fainali baada ya kuiondoa simba kwa mabao 2 1 kwenye uwanja wa nangwanda sjjaona.mshindi wa shindano hilo ataiwakilisha nchi katika kombe la shirikisho la caf. mbali na kufuzu.

рџ ґlive ally mayai tembele Pira Biriani Limeonekana Aichambua yanga
рџ ґlive ally mayai tembele Pira Biriani Limeonekana Aichambua yanga

рџ ґlive Ally Mayai Tembele Pira Biriani Limeonekana Aichambua Yanga Kikosi cha yanga kimetwaa kwa kishindo ubingwa wa mashindano ya kombe la toyota, jijini bloemfontein, afrika kusini baada ya jioni ya leo jumapili kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4 0 dhidi ya wenyeji kaizer chiefs. mabao yaliyoipa yanga ubingwa, katika mchezo huo yamefungwa na prince dube dakika ya 24, clement mzize dakika ya 62 huku stephane. Yanga nayo ilikosa bao la wazi dakika ya 27, pale aziz ki alipounganisha vibaya krosi ya mzize kutoka pembeni kidogo upande wa kulia. dakika kumi kabla ya mechi kwenda mapumziko, beki wa kulia wa yanga, nickson kibabage alianguka peke yake uwanjani, baada ya kufanyiwa matibabu akatolewa nje nafasi yake ikachukuliwa na joyce lomalisa. Mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya mashindano hayo utachezwa katika uwanja wa ccm kirumba, mwanza, mei 18 ambao utazikutanisha coastal union kuanzia saa 9.30 alasiri. kesho yake kwenye uwanja wa sheikh amri abeid kaluta, arusha, nusu fainali ya pili ya mashindano hayo itachezwa ikizikutanisha ihefu na yanga. timu zitakazofanikiwa kuingia hatua. Na mohammed akida april 30, 2023. klabu ya yanga kutoka tanzania, kwa mara ya kwanza imefuzu nusu fainali ya michuano ya kombe la shirikisho afrika, baada ya kuiondoa timu ya rivers united kutoka nigeria. yanga imeingia nusu fainali baada ya kupata ushindi wa mabao 2 0 katika michezo miwili ya nyumbani na ugenini. yanga itacheza na marumo.

Comments are closed.