Bashungwa Aagiza Timu Ya Wataalam Kurejesha Miundombinu ођ 07th mar, 2024. waziri wa ujenzi, innocent bashungwa amemuelekeza katibu mkuu wa wizara ya ujenzi balozi eng. aisha amour kupeleka timu ya wataalam mkoani lindi itakayohakikisha inasimamia urejeshwaji wa miundombinu yote ya barabara na madaraja iliyokatika kutokana na kujaa maji hivyo kusababisha huduma za usafiri na usafirishaji kusimama. Mkuu wa mkoa wa lindi, zainab telack akiwa na waziri wa ujenzi, innocent bashungwa wakikagua miundombinu ya barabara na madaraja iliyoathiriwa na mvua na kusababisha kufunga kwa mawasiliano katika wilaya za liwale, nachingwea na ruangwa mkoani lindi. waziri wa ujenzi, innocent bashungwa akijadiliana jambo na naibu waziri wa ofisi ya rais.
Bashungwa Aagiza Changamoto Za Walimu Wa Ajira Mpya Kufanyiwa Kazi Waziri wa ujenzi, innocent bashungwa anaendelea kuisimamia timu ya wataalam na makandarasi kurejesha mawasiliano ya barabara ya lindi – dar es salaam ambapo tayari eneo la somanga limeanza kupitika na amesisitiza kuwa ifikapo kesho alhamisi mawasiliano ya barabara hiyo yatarejea. bashungwa amezungumza hayo mei 08, 2024 mkoani lindi wakati akisimamia zoezi la urejeshaji wa miundombinu […]. #michuzihabari #michuzitv #kaziiendelee waziri wa ujenzi, innocent bashungwa amemuelekeza katibu mkuu wa wizara ya ujenzi balozi eng. aisha amour kupeleka ti. Waziri wa ujenzi, innocent bashungwa, ameeleza kuwa timu ya watalaamu wa wakala ya barabara (tanroads) na makandarasi itatumia saa 72 (siku 3) kukamilisha zoezi la kurejesha miundombinu ya barabara ya lindi – dar es salaam, ambayo imeharibiwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha zilizombatana na kimbunga hidaya. amesema hayo mkoani lindi mei 05, 2024, mara baada […]. Na mwandishi wetu, jamhurimedia, lindi waziri wa ujenzi innocent bashungwa amesema hatasita kubadilisha timu ya wataalam na mkandarasi wanaoendelea na kazi ya kurejesha mawasiliano ya barabara ya dar es salaam lindi katika eneo la nangurukuru kutokana na kasi ndogo ya kazi na usimamizi. bashungwa ameonesha hali hiyo ya kutoridhishwa na usimamizi na kasi ya urejeshaji.
Bashungwa Aagiza Timu Ya Wataalam Kurejesha Miundombinu ођ Waziri wa ujenzi, innocent bashungwa, ameeleza kuwa timu ya watalaamu wa wakala ya barabara (tanroads) na makandarasi itatumia saa 72 (siku 3) kukamilisha zoezi la kurejesha miundombinu ya barabara ya lindi – dar es salaam, ambayo imeharibiwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha zilizombatana na kimbunga hidaya. amesema hayo mkoani lindi mei 05, 2024, mara baada […]. Na mwandishi wetu, jamhurimedia, lindi waziri wa ujenzi innocent bashungwa amesema hatasita kubadilisha timu ya wataalam na mkandarasi wanaoendelea na kazi ya kurejesha mawasiliano ya barabara ya dar es salaam lindi katika eneo la nangurukuru kutokana na kasi ndogo ya kazi na usimamizi. bashungwa ameonesha hali hiyo ya kutoridhishwa na usimamizi na kasi ya urejeshaji. Na mwandishi wetu, jamhurimedia, lindi waziri wa ujenzi, innocent bashungwa anaendelea kuisimamia timu ya wataalam na makandarasi kurejesha mawasiliano ya barabara ya lindi – dar es salaam ambapo tayari eneo la somanga limeanza kupitika na amesisitiza kuwa ifikapo kesho leo mawasiliano ya barabara hiyo yatarejea. bashungwa amezungumza hayo mei 08, 2024 mkoani lindi wakati akisimamia. Waziri wa ujenzi, innocent bashungwa amemuelekeza katibu mkuu wa wizara ya ujenzi balozi eng. aisha amour kupeleka timu ya wataalam mkoani lindi itakayohakikisha inasimamia urejeshwaji wa miundombinu yote ya barabara na madaraja iliyokatika kutokana na kujaa maji hivyo kusababisha huduma za usafiri na usafirishaji kusimama katika wilaya za.