Benki Ya Access Yatoa Msaada Wa Vifaa Tiba Katika Hospital Mkopo wa kilimo. benki ya access microfinance inatoa mikopo ya kilimo kwa mkulima mmoja mmoja kuanzia shilingi 500,000 hadi shilingi 50, 000,000 yenye lengo la kutoa msaada wa kifedha wa kutosha na kwa wakati kwa wakulima ili kuimarisha shughuli zao za kilimo (pembejeo, kazi, vifaa vya shamba, uwekezaji nk.). Afisa mkuu wa biashara wa access microfinance bank, bw. isaya mwenisongole (kushoto) akimkabidhi mganga mfawidhi wa hospitali ya manispaa ya kahama dkt. deo nyaga vifaa vya kujifungulia (delivery kit) kwa ajili ya akina mama wanaojifungua katika hospitali ya manispaa ya kahama. wafanyakazi wa access microfinance bank na wafanyakazi wa hospitali ya manispaa ya kahama wakiwa wameshikilia vifaa […].
Benki Ya Access Yatoa Msaada Wa Vifaa Tiba Katika Hospital Michuzi blog at wednesday, may 15, 2024 habari, benki ya taifa ya biashara (nbc) imetoa misaada ya vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 11.5 kusaidia kuboresha huduma za afya katika hospitali ya mpitimbi, songea mkoani ruvuma. vifaa hivyo ni kitanda cha kujifungulia 1, vitanda vya wagonjwa 15, magodoro 15, madawa na vifaa tiba. Songea, ruvuma mei 13, 2024; benki ya taifa ya biashara (nbc) imetoa misaada ya vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 11.5 kusaidia kuboresha huduma za afya katika hospitali ya mpitimbi, songea mkoani ruvuma. Julius ruwaichi mkurugenzi mtendaji wa benki ya access kikabidhi msaada wa vifaa vya kujifungulia kwa akina mama kwa mganga mfawidhi wa hospitali rufaa mkoa wa temeke dkt joseph gasper kimaro ikiwa na kurudisha shukurani kwa jamii kushoto ni nuswe ambokile muuguzi mkuu hospitali ya rufaa mkoa wa temeke. Mbunge wa kigamboni mh. mwinchumu abdulrahmani (shoto) akipokea msaada wa nbc wa vifaa vya maabara kwa shule ya sekondari ya mbagala kuu jana. anayetoa ni mkuu wa hazina wa nbc lawrence mafuru.
Benki Ya Crdb Yatoa Msaada Wa Vifaa Vya Studio Kwa Jeshi La Zima Julius ruwaichi mkurugenzi mtendaji wa benki ya access kikabidhi msaada wa vifaa vya kujifungulia kwa akina mama kwa mganga mfawidhi wa hospitali rufaa mkoa wa temeke dkt joseph gasper kimaro ikiwa na kurudisha shukurani kwa jamii kushoto ni nuswe ambokile muuguzi mkuu hospitali ya rufaa mkoa wa temeke. Mbunge wa kigamboni mh. mwinchumu abdulrahmani (shoto) akipokea msaada wa nbc wa vifaa vya maabara kwa shule ya sekondari ya mbagala kuu jana. anayetoa ni mkuu wa hazina wa nbc lawrence mafuru. Benki ya nmb kanda ya magharibi imetoa msaada wa vitanda vya kujifungulia wajawazito , kulala wagonjwa, magodoro, machela, shuka na viti vya wagonjwa katika hospitali ya halmashauri ya manispaa ya kahama mkoani shinyanga vyenye thamani ya shilingi milioni 6.7. ili kuboresha huduma za afya kwa wananchi hususani wanawake wanaofika kujifungua katika hospitali hiyo. Na penina malundo, hanang, manyara. benki ya biashara ya mkombozi inayomilikiwa na baraza la maaskofu katoliki tanzania, tec, hivi karibuni imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya kiasi cha sh. milioni 7.7 ikiwa na lengo la kuwashika mkono waathirika wa maporomoko ya tope kutoka milima ya hanang yaliyotokea disemba 3, 2023 kwenye mji mdogo wa katesh.