![benki ya crdb yatoa gawio la shilingi bilioni 36о benki ya crdb yatoa gawio la shilingi bilioni 36о](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2022/06/82730928-b741-4851-97a3-f7a4b8155a48-1024x682.jpg)
Benki Ya Crdb Yatoa Gawio La Shilingi Bilioni 36о Mwigulu nchemba amepokea gawio la shilingi bilioni 36 linalotokana na uwekezaji wa serikali ndani ya benki ya crdb kutoka kwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya benki ya crdb, dkt. ally laay. makabidhiano hayo ya hundi kifani yamefanyika leo juni 29,2022 jijini dodoma na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma yenye. Mkurugenzi mtendaji wa benki ya crdb, abdulmajid nsekela,akielezea kuwa gawio hilo ni sehemu ya faida ya shilingi bilioni 268.2 baada ya kodi ambayo benki hiyo imeipata katika mwaka wa fedha 2021,wakati wa kukabidhi gawio la serikali lililotolewa na benki hiyo l leo juni 29,2022 jijini dodoma hafla iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa.
![benki ya crdb yatoa gawio la shilingi bilioni 36о benki ya crdb yatoa gawio la shilingi bilioni 36о](https://mzalendo.co.tz/wp-content/uploads/2022/06/157de8a1-9994-4fcd-9c94-555bcbd0c39f.jpg)
Benki Ya Crdb Yatoa Gawio La Shilingi Bilioni 36о Waziri wa fedha mhe. dkt. mwigulu lameck nchemba amesema kuwa serikali imepokea gawio la kiasi cha shilingi bilioni 27.4 kutoka benki ya crdb kutokana na serikali kuu kumiliki asilimia 21 ya benki hiyo kupitia mfuko wa uwekezaji wa pamoja na serikali ya denmark (dif) hayo yamesemwa jijini dodoma kwa niaba yake na waziri wa nchi ofisi ya rais. Waziri wa fedha na mipango dk. mwigulu nchemba amepokea gawio la shilingi bilioni 36.1 linalotokana na uwekezaji wa serikali ndani ya benki ya crdb kutoka kwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa benki hiyo dk. Benki ya nmb imetoa gawio la shilingi bilioni 57.4 kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania ambayo ni kiashiria cha azma ya kuleta ti. Awali akizungumza katika hafla hiyo mkurugenzi mtendaji wa benki ya crdb abdul majid nsekela amesema kuwa crdb kwa mwaka huu imetoa gawio kwa serikali la kiasi cha shilingi 51.724 kwa serikali ikijumuisha halmashari pamoja na vyama vya ushirika ambavyo vina hisa katika benki hiyo.
![benki ya crdb Yakabidhi gawio Kubwa Zaidi Kupata Kutokea la shiling benki ya crdb Yakabidhi gawio Kubwa Zaidi Kupata Kutokea la shiling](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi5YDSzujKEXvu2hBWvI_Jr7pRc0xddmVj4sL_eBdhU-DEBAXP5Tg7OoPze4YVPhSnX6TP7F-2CKKie7ILqhrN6ydHUn1m219d1zGaebafFCPExOtM2ipW0N1bkcIRuySvsogd2DGX0Cn4GfJ1KsuVkPX_TtpHg6ufN936MWPlhrNXVYdgD-KCKrtw65Q/s3000/OTMI2215.jpeg)
Benki Ya Crdb Yakabidhi Gawio Kubwa Zaidi Kupata Kutokea La Shiling Benki ya nmb imetoa gawio la shilingi bilioni 57.4 kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania ambayo ni kiashiria cha azma ya kuleta ti. Awali akizungumza katika hafla hiyo mkurugenzi mtendaji wa benki ya crdb abdul majid nsekela amesema kuwa crdb kwa mwaka huu imetoa gawio kwa serikali la kiasi cha shilingi 51.724 kwa serikali ikijumuisha halmashari pamoja na vyama vya ushirika ambavyo vina hisa katika benki hiyo. Ni june 9, 2023 ambapo crdb benki imekabidhi jumla ya gawio la shilingi bilioni 45.8 kwa waziri wa fedha, dkt. mwigulu nchemba ikiwa ni gawio kwa serikali kuu, taasisi na mashirika yake kutokana na uwekezaji ndani ya benki yetu. mwaka huu wametoa jumla ya gawio la shilingi bilioni 117.5 kwa wanahisa wao baada ya kupata. Kwa mwaka 2022, amesema benki ya crdb burundi imepata faida kubwa zaidi tangu lilipoanzishwa mwaka 2012. kampuni hiyo tanzu ilipata faida ya shilingi 23 bilioni mwaka 2022 ambayo ni sawa na ongezeko la 79.7% kutoka shilingi 12.8 bilioni iliyopatikana mwaka 2021. kwa faida hiyo, kampuni tanzu hiyo ilichangia 7.0% kwenye faida ya kampuni nzima.
![benki ya crdb yatoa gawio la shilingi bilioni 36о benki ya crdb yatoa gawio la shilingi bilioni 36о](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgG8e5QuGTEbamuys8LoWBA_wjWZ3VFr9br-1kGrbrR6klc1-S3Qe1l6cf0tIn_u-HordRCUwUnUfsWsSern1aASKZ3FPK4d71_QjH4N8dvQHqGXcWRKR1a79RfSQ3J8XndlTKwee_hIfccWnrUUYdAhuEAAgUisvTKiFrThLNet3v7t423aZLcnGwBuA/s2000/OTMI9681.jpeg)
Benki Ya Crdb Yatoa Gawio La Shilingi Bilioni 36о Ni june 9, 2023 ambapo crdb benki imekabidhi jumla ya gawio la shilingi bilioni 45.8 kwa waziri wa fedha, dkt. mwigulu nchemba ikiwa ni gawio kwa serikali kuu, taasisi na mashirika yake kutokana na uwekezaji ndani ya benki yetu. mwaka huu wametoa jumla ya gawio la shilingi bilioni 117.5 kwa wanahisa wao baada ya kupata. Kwa mwaka 2022, amesema benki ya crdb burundi imepata faida kubwa zaidi tangu lilipoanzishwa mwaka 2012. kampuni hiyo tanzu ilipata faida ya shilingi 23 bilioni mwaka 2022 ambayo ni sawa na ongezeko la 79.7% kutoka shilingi 12.8 bilioni iliyopatikana mwaka 2021. kwa faida hiyo, kampuni tanzu hiyo ilichangia 7.0% kwenye faida ya kampuni nzima.