Kitomari Banking Finance Blog benki ya dcb Yazidi Kujiimarisha
Kitomari Banking Finance Blog Benki Ya Dcb Yazidi Kujiimarisha Mkurugenzi wa fedha wa benki ya biashara ya dcb, zacharia kapama (wa pili kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam leo wakati akitangaza benki hiyo kupata faida ya kablsa ya kodi ya shilingi bilioni 1.9 kwa mwaka 2018.wengine kutoka kushoto ni mkuu wa kitengo cha masoko na mawasiliano, rahma ngassa, mkurugenzi wa biashara, james ngaluko na mkaguzi mkuu wa hesabu za. Baada ya kuvumilia biashara mbaya iliyokuwapo 2017, benki ya dcb inatarajia kuwafurahisha wanahisa wake baada ya kutengeneza faida ya sh1.9 bilioni mwaka jana. faida hiyo kabla ya kodi imepatikana kutokana na usimamizi mzuri wa mikakati iliyowekwa na kufanikiwa kuiondoa kwenye hasara ya sh6.9 bilioni katika kipindi hicho.
benki ya Letshego Faidika Yapata faida ya bilioni 1 3 Kabla y
Benki Ya Letshego Faidika Yapata Faida Ya Bilioni 1 3 Kabla Y Januari 29, 2019 benki ya biashara ya dcb imefanikiwa kupata faida ya shilingi bilioni 1.9 katika mwaka 2018 huku ikiipiku hasara ya shilingi bilioni 6.9 iliyopatikana mwaka 2017 ambayo inawakilisha ongezeko la asilimia 463. Home busness benki ya dcb yatangaza faida ya shilingi bilioni 1.9 katika mwaka 2018 januari 29, 2019 benki ya dcb yatangaza faida ya shilingi bilioni 1.9 katika mwaka 2018 januari 29, 2019 kilole mzee. Mkurugenzi mtendaji wa tanzania commercial bank (tcb), adam mihayo amesema kuwa benki hiyo imeshuhudia ongezeko kubwa la mapato ya jumla ya shilingi bilioni 19.27 sawa na asilimia 11.19 hadi kufika bilioni 19. 21, kwa mwaka 2023. ikilinganishwa na mwaka 2022 ambapo mapato yalikuwa bilioni 172.83 sawa na asilimia 1.72. mihayo ameyasema hayo alipokuwa akiwasilisha taarifa. Katika mwaka wa fedha wa 2022, benki ya dcb ilijipatia faida kabla ya kodi ya shilingi za kitanzania 2.25 bilioni, ikilinganishwa na faida ya shilingi 1.06 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021, ikiwa ni kukua kwa faida kwa asilimia 112.
benki ya dcb yatangaza faida ya shilingi bilioni
Benki Ya Dcb Yatangaza Faida Ya Shilingi Bilioni Mkurugenzi mtendaji wa tanzania commercial bank (tcb), adam mihayo amesema kuwa benki hiyo imeshuhudia ongezeko kubwa la mapato ya jumla ya shilingi bilioni 19.27 sawa na asilimia 11.19 hadi kufika bilioni 19. 21, kwa mwaka 2023. ikilinganishwa na mwaka 2022 ambapo mapato yalikuwa bilioni 172.83 sawa na asilimia 1.72. mihayo ameyasema hayo alipokuwa akiwasilisha taarifa. Katika mwaka wa fedha wa 2022, benki ya dcb ilijipatia faida kabla ya kodi ya shilingi za kitanzania 2.25 bilioni, ikilinganishwa na faida ya shilingi 1.06 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021, ikiwa ni kukua kwa faida kwa asilimia 112. Katika mkutano huo mihayo amefafanua kwa undani mafanikio waliyoyapata mwaka 2023, na kusema kuwa mali za benki hiyo ziliongezeka kutoka shilingi trilioni 1.285 mwishoni mwa mwaka hadi kufikia tririon 1.389 mwishoni mwa mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 8.1 ikiwa ni sawa na shilingi bilioni 103. 9. “jumla ya mikopo yote iliongezeka kwa. Trilioni 1.112 mwishoni mwa mwaka 2023. “katika mapato, tcb benki ilishuhudia ongezeko kubwa la mapato ya jumla kwa sh. bil. 19.27 sawa na asilimia 11.19 hadi kufikia sh. bil. 192.1ikilinganishwa na mwaka 2022 mapato yalikuwa sh. bil. 172.83 sawa na asilimia 1.72. “mapato ya riba yalichangia asilimia 79.61 ya mapato yote ya benki huku kiasi.