benki ya Crdb Yakabidhi gawio Kubwa Zaidi Kupata Kutokea la shilingi
Benki Ya Crdb Yakabidhi Gawio Kubwa Zaidi Kupata Kutokea La Shilingi Serikali imepokea kiasi cha shilingi bilioni sita kutoka benki ya taifa ya biashara (nbc). kiasi hicho ni sehemu ya gawio la kiasi cha sh bilioni 20 ambayo nbc imetenga kwa ajili ya wanahisa wake kufuatia faida iliyopata katika kipindi cha mwaka 2022. serikali inamiliki asilimia 30 ya hisa za benki hiyo. mkurugenzi mtendaji wa nbc,. Serikali imepokea sh. bilioni sita kutoka benki ya taifa ya biashara (nbc) ikiwa ni sehemu ya gawio la bilioni 20 ambalo benki imetenga kwa ajili ya wanahisa wake kufuatia faida iliyopata mwaka 2022. serikali inamiliki asilimia 30 ya hisa za benki hiyo.
benki ya nbc yatoa gawio la shilingi bilioni 4 5
Benki Ya Nbc Yatoa Gawio La Shilingi Bilioni 4 5 Benki ya nbc yatoa gawio la shilingi bilioni 6 kwa serikalidar es salaam mei 17, 2023: benki ya nbc leo imetoa gawio la shilingi bilioni 6 kwa serikali, iki. Faida yetu kabla ya kodi imekua kwa 36% kufikia shilingi bilioni 81.9 kutoka shilingi bilioni 60 mwezi disemba 2021. faida hii imetuwezesha kutoa gawio la shilingi bilioni 20 kwa wanahisa wetu ikiwamo serikali ambayo leo tunakabidhi hundi ya shilingi bilioni 6,” alisema. Dar es salaam mei 17, 2023: benki ya nbc leo imetoa gawio la shilingi bilioni 6 kwa serikali, ikiwa ni sehemu ya faida iliyopatikana katika kipindi cha mwaka 2022. serikali ni mmoja ya wanahisa wa benki ya nbc, ikimiliki aslimia 30 ya hisa.akiongea. Waziri wa fedha mhe. dkt. mwigulu lameck nchemba amesema kuwa serikali imepokea gawio la kiasi cha shilingi bilioni 27.4 kutoka benki ya crdb kutokana na serikali kuu kumiliki asilimia 21 ya benki hiyo kupitia mfuko wa uwekezaji wa pamoja na serikali ya denmark (dif) hayo yamesemwa jijini dodoma kwa niaba yake na waziri wa nchi ofisi ya rais.