Benki Ya Tpb Yatoa Msaada Wa Tani 10 Za Saruji Kwa Hospitali Buinda mafwimbo benard akiwa pamoja na wanafunzi wa shule ya msingi ibosa walipofika kutoa msaada wa saruji kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa shuleni hapo. kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya bukoba babylus mashauri watatu kulia akikabithi msaada wa mifuko ya saruji kwa kamati shule uliotolewa na benk ya nbc kwaajili ya ujenzi. Benki ya taifa ya biashara imekabidhi mabati 240, mifuko 120 ya saruji na kilo 30 za misumari ya bati mkoani ruvuma kwa dhamira ya kuunga mkono serikali katika juhudi zake za kuendeleza elimu kupitia ujenzi wa madarasa. msaada huo ulitolewa kw.
Hakipensheni Benki Ya Nbc Yatoa Msaada Wa Saruji Ujenzi Benki ya taifa ya biashara nbc tawi la bukoba imetoa msaada wa saruji tani nne katika kusaidia ujenzi wa vyumba vya madarasa shule ya msingi igabilo kufuatia shule hiyo kukumbwa na uhaba wa madarasa. akiongea kabla ya kukabidhi msaada huo, katika viwanja vya shule ya msingi igabilo iliyopo halmashauri ya wilaya bukoba, meneja wa benki hiyo tawi. Benki ya nbc yatoa msaada wa saruji ujenzi wa vyumba vya madarasa, uhaba wa vyoo waibuliwa. meneja wa benk ya biashara nbc tawi la bukoba bw. mathias mhangilwa wanne kulia akikabithi msaada wa saruji kwa kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya bukoba babylus mashauri wanne kushoto uliotolewa na benk hiyo kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya. Nbc yachangia tani 4 za saruji kwaajili ya ujenzi wa shule ya msingi ibosa, bukoba. katika kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira bora, benki ya taifa ya biashara (nbc) imechangia tani nne za saruji kwaajili ya kufanikisa ujenzi wa madarasa matano ya shule ya msingi ibosa iliyopo halmashauri ya wilaya ya bukoba, kagera. msaada huo ni. Benki ya taifa ya biashara (nbc) tawi la mwanza imetoa msaada wa mifuko ya saruji 200 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa katika shule ya msin.