Benki Ya Nmb Yatoa Fidia Ya Milioni 270 Kwa Wa Benki ya nmb kwa kushirikiana na kampuni ya bima ya reliance insurance wamekabidhi hundi ya shilingi milioni 270 zitakazotumika kuwalipa fidia wajasiriamali wadogo na wa kati 18 walioathirika na maporomoko ya matope yaliyotokea wilayani hanang, mkoani manayara desemba 3, 2023 na kuwaacha watu wengi na hasara kubwa. Na mwandishi wetu, hanang. benki ya nmb kwa kushirikiana na kampuni ya bima ya reliance insurance wamekabidhi hundi ya shilingi milioni 270 zitakazotumika kuwalipa fidia wajasiriamali wadogo na wa kati 18 walioathirika na maporomoko ya matope yaliyotokea wilayani hanang, mkoani manayara desemba 3, 2023 na kuwaacha watu wengi na hasara kubwa.
benki ya nmb yatoa milioni 42 5 Maonyesho ya Nanenane Simiyu вђ
Benki Ya Nmb Yatoa Milioni 42 5 Maonyesho Ya Nanenane Simiyu вђ Benki ya nmb imepandisha kiwango cha mikopo kwa wakulima na wafugaji kutoka shilingi bilioni 730 mwaka 2021 hadi shilingi trilioni 1.6 mwaka huu 2024 huku ikiweka mkakati wa kuinua sekta hiyo. kutolewa kwa mikopo hiyo kumesaidia kupunguza migogoro ya wakulima na wafugaji kwani kiasi cha shilingi bilioni 505 ni mikopo ya wafugaji kwa lengo la. Benki ya nmb imekabidhi msaada kwa wahanga wamafuriko kwa mkoa wa iringa – mafuriko ya pawagana wahanga wa mafuriko ya wilayani ruangwa kwakukabidhi vyakula na vifaa mbalimbali vya ujenzivyenye thamani ya shilingi milioni 35. msaada huo unakuja wakati maelfu ya familia yakiwahayana makazi na chakula baada ya kukumbwa namafuriko yaliyoharibu mindombinu, nyumba, vyakula pamoja na mashamba yao. Ijumaa agosti 9, 2024. the guardian |; nipashe |; nipashe jumapili; epaper. “benki ya nmb ni mdau mkubwa sana wa serikali na tumekuwa tukishirikiana na sekta mbalimbali ikiwemo sekta hii ya kilimo. sekta hii ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi yetu, benki yetu itaendelea kuwa bega kwa bega na wizara ya kilimo ili kuhakikisha maono yake katika sekta ya kilimo hapa nchini yanatimia na kuzidi kukuza uchumi wa nchi yetu.