Ultimate Solution Hub

Breaking News Mahakama Yamuachia Huru Mjane Wa Bilionea Msuya Hali Ilivyo Ndani

breaking news mahakama yamuachia huru mjane wa bilionea
breaking news mahakama yamuachia huru mjane wa bilionea

Breaking News Mahakama Yamuachia Huru Mjane Wa Bilionea Mjane wa bilionea msuya, miriam mrita akiwa kwenye chumba cha mahakama kuu ya tanzania leo ijumaa, februari 23, 2024. dar es salaam. mahakama kuu kanda ya dar es salaam imewaachia huru, mjane wa mke wa msuya, miriam mrita na revocatus muyella, baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha mashitaka dhidi yao. Mahakama yamuachia huru mke wa bilionea msuya mahakama kuu kanda ya dar es salaam imewaachia huru, mjane wa mke wa msuya, miriam mrita na revocatus muyella,.

breaking news mahakama yamuachia huru Sabaya вђ Full Shangwe Blog
breaking news mahakama yamuachia huru Sabaya вђ Full Shangwe Blog

Breaking News Mahakama Yamuachia Huru Sabaya вђ Full Shangwe Blog Mahakama kuu kanda ya dar es salaam imewaachia huru, mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara wa madini wa tanzanite, erasto msuya maarufu bilionea msuya, miriam mrita na revocatus muyella, baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha mashitaka dhidi yao. hukumu hiyo inasomwa leo ijumaa februari 23, 2024 na jaji edwin kakolaki aliyeisikiliza. Watch on. mahakama kuu kanda ya dar es salaam, imewaachia huru, miriam steven mrita, mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu wa madini mkoani arusha, bilionea erasto msuya, pamoja na mwenzake revocatus everest, waliokuwa wakikabiliwa na shtaka kumuua kwa kukusudia aneth elisaria msuya, ambaye ni wifi yake mariam, baada ya upande wa mashtaka. 23 february 2024. mahakama kuu kanda ya dar es salaam, imewaachia huru, miriam steven mrita, mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu wa madini mkoani arusha, bilionea erasto msuya, pamoja na mwenzake revocatus everest, waliokuwa wakikabiliwa na shtaka kumuua kwa kukusudia aneth elisaria msuya, ambaye ni wifi yake mariam, baada ya upande wa. Hukumu hiyo ilikuwa habari njema kwa ndugu wa bilionea msuya. “kwa kweli katika jambo hili nimemuona mungu akitenda haki,” alisema antuja msuya, ambaye ni dada wa bilionea msuya. “nawashukuru wapelelezi makini waliopeleleza kesi hii. zaidi ya yote namshukuru jaji aliyetoa hukumu hii. “kama familia nasema asante na tumeridhishwa na.

Comments are closed.