Ultimate Solution Hub

Bunge La Kaunti Ya Nyamira Lasitisha Vikao Huku Wawakilishi Wadi

Bunge la kaunti ya nyamira ndio la hivi punde kuahirisha vikao vyake kw amuda usiojulikana ili kujiunga na mabunge ya kaunti zote nchini kwenye mgomo wa kush. Wawakilishi wadi wa bunge la kaunti ya kilifi wamesitisha shughuli za bunge hilo hadi mmoja wao aliyekamatwa aachiliwe.

Wawakilishi wadi wa kaunti ya nakuru walipigana makonde katika bunge la kunti hiyo mapema leo baada ya kutofautiana kuhusu hoja ya kumtimua katibu wa kaunti. Wawakilishi wa bunge la kaunti ya nyamira wanataka bunge hilo kununuliwa na kuwekwa vipasa sauti vya kisasa ili kuepukana aibu wanayokumbana nayo wakati wanatembelea bunge zingine haswa bunge kuu na ile ya seneti ambazo zimewekwa vipasa sauti vya kisasa mbele ya viti bungeni. kulingana na mwakilishi wadi ya rigoma benson sironga, walipata aibu. Wawakilishi wadi wafunga kazi: bunge la kaunti ya kajiado limesitisha shuguli zote bunge hilo limefungwa kwa kipindi cha mwezi mmoja wanalalamikia kupunguzwa kwa mishahara yao wawakilishi wadi wanataka hazina ya wadi #semanacitizen @luluhassan. Mwenyekiti wa kamati ya bajeti katika bunge la kaunti ya nyamira george abuga amewaongoza wawakilishi wadi kwenye kaunti hiyo kushinikiza nyongeza ya mgao kwa kaunti ili kufanikisha miradi ya maendeleo. viongozi hao wamesema kucheleweshwa kwa mgao huo ambao pia wanasema hautoshi, kumefanya kaunti nyingi kusalia nyuma kimaendeleo.

Wawakilishi wadi wafunga kazi: bunge la kaunti ya kajiado limesitisha shuguli zote bunge hilo limefungwa kwa kipindi cha mwezi mmoja wanalalamikia kupunguzwa kwa mishahara yao wawakilishi wadi wanataka hazina ya wadi #semanacitizen @luluhassan. Mwenyekiti wa kamati ya bajeti katika bunge la kaunti ya nyamira george abuga amewaongoza wawakilishi wadi kwenye kaunti hiyo kushinikiza nyongeza ya mgao kwa kaunti ili kufanikisha miradi ya maendeleo. viongozi hao wamesema kucheleweshwa kwa mgao huo ambao pia wanasema hautoshi, kumefanya kaunti nyingi kusalia nyuma kimaendeleo. Wakilishi wadi kujibu madaihaya wakilishi kuminasaba walipiga hoja ya kumbanduwa hukuwa tatu wakikosa kupi ya kura. if given an opportunity anytime i can impeach honorable members not even governor. they are the people who have really sabotaged the developments of this county and not the governor. i'm sorry to say that. Utata unatokota katika bunge la kaunti ya laikipia.hii ni kufuatia baadhi ya ya wawakilishi wadi kudaiwa kupanga njama ya kung'atua spika wa bunge hilo la kaunti lantano nabaala. hata hivyo hatua hii imepingwa na baadhi ya wawakilishi wadi na wakaazi ambao wanadai kuwa huu si wakati wa kulumbana bali kuwafanyia kazi wananchi waliowachagua.

Wakilishi wadi kujibu madaihaya wakilishi kuminasaba walipiga hoja ya kumbanduwa hukuwa tatu wakikosa kupi ya kura. if given an opportunity anytime i can impeach honorable members not even governor. they are the people who have really sabotaged the developments of this county and not the governor. i'm sorry to say that. Utata unatokota katika bunge la kaunti ya laikipia.hii ni kufuatia baadhi ya ya wawakilishi wadi kudaiwa kupanga njama ya kung'atua spika wa bunge hilo la kaunti lantano nabaala. hata hivyo hatua hii imepingwa na baadhi ya wawakilishi wadi na wakaazi ambao wanadai kuwa huu si wakati wa kulumbana bali kuwafanyia kazi wananchi waliowachagua.

Comments are closed.