Ultimate Solution Hub

Dc Jokate Awapa Onyo Madereva Bodaboda Wanafunzi Wamshangilia

dc Jokate Awapa Onyo Madereva Bodaboda Wanafunzi Wamshangilia Youtube
dc Jokate Awapa Onyo Madereva Bodaboda Wanafunzi Wamshangilia Youtube

Dc Jokate Awapa Onyo Madereva Bodaboda Wanafunzi Wamshangilia Youtube Subscribes: c kidanistarsmkuu wa wilaya ya kisarawe, joketi mwegelo amezindua kampeni ya tokomeza ziro kwa wanafunzi wa kidato cha nne. "bodaboda mmoja kawapa mimba wanafunzi wanne " dc bulembo atoa onyo kali kwa bodaboda @wasafi media?sub confirmation=1watch wasafi.

dc jokate Mwegelo Mwananchi
dc jokate Mwegelo Mwananchi

Dc Jokate Mwegelo Mwananchi Gazeti hili limebaini kwamba, baadhi ya walimu pia wamejiingiza katika mchezo huo mchafu na kufanya ngono na vijana wadogo wanaoendesha bodaboda. madereva hao wanaoonekana katika vituo vya daladala, huwafuata wanafunzi hao wanaosumbuliwa na shida ya usafiri wakikataliwa kupanda daladala makondakta wa daladala hasa wakati wa asubuhi na jioni. Hata hiyo, baadhi ya madereva wa bodaboda waliwatupia lawama wanafunzi kuwa wao ndiyo wanaowashawishi madereva hao kufanya nao ngono. renatus kitwana dereva wa bodaboda anaefanya biashara yake katika kituo cha ukonga mombasa, alisema baadhi ya wanafunzi hufika kituoni hapo na kusimama muda mrefu wakiwasubiri ‘watu wao’. Kiongozi wa waendesha bodaboda kinondoni, abdallah bakari alisema ni rahisi kwa kundi hilo kuwarubuni wanafunzi wa kike kwa sababu ya aina ya usafiri wanaoutumia. “kazi hii inahusisha kuchukua namba za simu za abiria, kuwapakia wanafunzi mpaka shule wanazosoma, ni rahisi kwa dereva asiyetambua thamani ya mtoto wa kike kumrubuni,” alisema. 135 likes, 17 comments polisi.tanzania on may 19, 2024: "madereva wa magari ya kubeba wanafunzi wapewa onyo. mkuu wa kikosi cha usalama barabarani wilaya ya tunduru mkoani ruvuma (dto) mkaguzi wa polisi jilason mwakatundu ametoa onyo kwa madereva wanaoendesha magari ya kubeba wanafunzi (school bus) wenye tabia ya kuzidisha idadi ya abiria kuzidi uwezo wa gari husika.

Comments are closed.