Dkt Mabula Akabidhi Mifuko 200 Ya Saruji Kwaajili Ya Ujenzi W About press copyright contact us creators advertise developers terms privacy policy & safety how works test new features press copyright contact us creators. Rais samia atengua uteuzi wa viongozi mbalimbali breaking news: bilionea manji afariki dunia breaking news:rais dkt.samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wakiwemo manaibu katibu wakuu breaking news: rais samia afanya uteuzi breaking news: makalla achukua mikoba ya makonda.
Dkt Mabula Akabidhi Mifuko Ya Saruji Ujenzi Wa Barabara вђ Full Waziri wa elimu profesa adolf mkenda, amesema atachangia mifuko 20 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika shule ya sekondari mawanda yenye mchepuko wa sayansi na sanaa iliyopo wilayani rombo mkoani kilimanjaro. Mbunge wa jimbo la korogwe vijijini, timotheo mzava, amekabidhi mabati 100, saruji mifuko 100 pamoja na tofali 1500 kwa ajili ya kuanzisha ujenzi wa shule mpya ya sekondari katika kata ya magoma. akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye kijiji cha kwamazandu, kata ya magoma, amesema kuwa changamoto ya umbali imemgusa na hivyo. Mbunge wa jimbo la lupa, masache kasaka amewaahidi wananchi wa kata ya upendo wilaya ya chunya kutoa mifuko 360 ya saruji, kokoto pamoja na nondo vyote vikiwa na thamani ya sh5 milioni. kasaka ametoa msaada huo hiyo leo machi 8 baada ya kupokea changamoto za wakazi wa kata ya upendo akiwa katika ziara za kukagua miradi ya maendeleo na. Mollel aishukuru jumuiya ya maridhiano ujenzi wa zahanati nakweni. na waf simanjiro. naibu waziri wa afya dkt. godwin mollel ameishukuru jumuiya ya maridhiano nchini na taasisi ya all for his glory kwa kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali za kusogeza huduma kwa wananchi kwa kumalizia zahanati iliyoanza kujengwa na wananchi wa kijiji cha.