Ultimate Solution Hub

Dua Kwa Manji Clement Sanga Akumbushia Manji Alivyomsajili Okwi

Dua kwa manji: aliyekuwa makamu mwenyekiti wa yanga sc, clement sanga amekumbushia namna aliyekuwa mwenyekiti na mfadhili wa yanga sc, yusuf manji alivyofani. Dua kwa manji: aliyekuwa makamu mwenyekiti wa yanga sc, clement sanga amekumbushia namna aliyekuwa mwenyekiti na mfadhili wa yanga sc, yusuf manji.

4,524 likes, 26 comments azamtvsports on july 7, 2024: "dua kwa manji: aliyekuwa makamu mwenyekiti wa yanga sc, clement sanga amekumbushia namna aliyekuwa mwenyekiti na mfadhili wa yanga sc, yusuf manji alivyofanikisha usajili wa emmanuel okwi kutoka simba sc ndani ya siku mbili. leo inafanyika dua kwa ajili ya yusuf manji aliyefariki juni 30 ,2024 katika ukumbi wa karimjee, dar es salaam. Dua kwa manji: msikie rafiki wa karibu wa marehemu yusuf manji, rahim kangezi ‘zamunda’ akisimulia namna mazishi ya aliyekuwa mwenyekiti na mfadhili wa yanga. Sanga asema manji alikuja kuiaga yanga: aliyekuwa makamu mwenyekiti wa yanga sc, chini ya marehemu yusuf manji, clement sanga, amesimulia namna. Wakati wa dua hiyo, mashabiki wengi walionekana kuwa na huzuni ambapo hata baada ya dua hiyo wengi walionekana kuumizwa na kifo cha bilionea huyo. akizungumza mara baada ya dua hiyo, hersi amesema uongozi wao umelazimika kuandaa dua hiyo katika kuthamini mchango wa manji ndani ya klabu hiyo. “dua hii ni kuthibitisha kuwa tunaenzi yale yote.

Sanga asema manji alikuja kuiaga yanga: aliyekuwa makamu mwenyekiti wa yanga sc, chini ya marehemu yusuf manji, clement sanga, amesimulia namna. Wakati wa dua hiyo, mashabiki wengi walionekana kuwa na huzuni ambapo hata baada ya dua hiyo wengi walionekana kuumizwa na kifo cha bilionea huyo. akizungumza mara baada ya dua hiyo, hersi amesema uongozi wao umelazimika kuandaa dua hiyo katika kuthamini mchango wa manji ndani ya klabu hiyo. “dua hii ni kuthibitisha kuwa tunaenzi yale yote. 2,255 likes, 20 comments azamtvsports on july 7, 2024: "sanga asema manji alikuja kuiaga yanga: aliyekuwa makamu mwenyekiti wa yanga sc, chini ya marehemu yusuf manji, clement sanga, amesimulia namna mwenyekiti huyo wa zamani wa wananchi alivyokuja tanzania kwenda kuiaga timu yake kwenye mechi ya aprili 20, dhidi ya simba sc. leo imefanyika dua kwa ajili ya yusuf manji aliyefariki dunia juni. Maamuzi hayo yametokana na klabu ya yanga kupeleka barua tff kuwa mwenyekiti wao yusuf manji aliyekuwa amejiuzulu amerejea katika nafasi yake hivyo sanga kukosa vigezo. kwa mujibu ya kanuni ya bodi ya ligi mwenyekiti wake anapaswa kuwa mwenyekiti wa klabu kwahiyo baada ya manji kurejea katika nafasi hiyo sanga amekosa vigezo kwakua amekuwa makamu.

2,255 likes, 20 comments azamtvsports on july 7, 2024: "sanga asema manji alikuja kuiaga yanga: aliyekuwa makamu mwenyekiti wa yanga sc, chini ya marehemu yusuf manji, clement sanga, amesimulia namna mwenyekiti huyo wa zamani wa wananchi alivyokuja tanzania kwenda kuiaga timu yake kwenye mechi ya aprili 20, dhidi ya simba sc. leo imefanyika dua kwa ajili ya yusuf manji aliyefariki dunia juni. Maamuzi hayo yametokana na klabu ya yanga kupeleka barua tff kuwa mwenyekiti wao yusuf manji aliyekuwa amejiuzulu amerejea katika nafasi yake hivyo sanga kukosa vigezo. kwa mujibu ya kanuni ya bodi ya ligi mwenyekiti wake anapaswa kuwa mwenyekiti wa klabu kwahiyo baada ya manji kurejea katika nafasi hiyo sanga amekosa vigezo kwakua amekuwa makamu.

Comments are closed.