Ultimate Solution Hub

Dua Nzuri Kwa Watoto Youtube

Allah anatuambia ktk qur'an ya kuwa watoto ni neema ambayo mwanadamu yoyote atamani kuwa nayo kama ni hivyo basi tuwaombee du'aa ili kuwakinga na hasad. Dua nzuri ya mzazi kuwaombea watoto |kinga ya watoto katika video utajifunzu dua ya mzazi kuwaomb.

Omba maombi saba yanayo kutatiza maalum komboa familia kwa mchanga wa bahari inayo ambatana na dua kubwa ya kuomba ajira,watoto,kazi,mapenzi,biashara,mchum. Dua nzuri kwa mtoto au watoto. sura zote 114 za quran zina faida katika kinga na tiba za maradhi mbalimbali na majanga ya kidunia na akhera, lakini zifuatazo ni sura zinazotumika kumsomea mtoto kwa maslahi yake ya sasa na baadae. ~surat fatiha, hii ni sura ya ufunguzi katika kisomo chako na kitaalam inatibu kila ugonjwa. msomee mtoto mara saba. Imepokelewa na ibn abbas (r.a) amesema: alikuwa mtume wa mwenyezi mungu akiwakinga wajukuu zake (hassan na hussein) akisema:''nawakinga kwa maneno ya mwenyezi mungu yaliyotimia, awakinge kutokana na kila shetani, na uvamizi, na kila jicho lenye kudhuru.''. api. dua wanayo kingwa nayo watoto. kinga ya muislamu katika nyiradi za qur ani na. Hakuna dua nzuri kwa watoto wako kama kuwaombea hidaya ,hidaya iko katika hazina ya allah pekee.

Imepokelewa na ibn abbas (r.a) amesema: alikuwa mtume wa mwenyezi mungu akiwakinga wajukuu zake (hassan na hussein) akisema:''nawakinga kwa maneno ya mwenyezi mungu yaliyotimia, awakinge kutokana na kila shetani, na uvamizi, na kila jicho lenye kudhuru.''. api. dua wanayo kingwa nayo watoto. kinga ya muislamu katika nyiradi za qur ani na. Hakuna dua nzuri kwa watoto wako kama kuwaombea hidaya ,hidaya iko katika hazina ya allah pekee. Dua'a nzuri za kuwaombea wazazi wetu baada ya kufariki: {1} "mola wetu!unighufirie mimi na wazazi wangu wote wawili,na waumini,siku ya kusimama hisabu."[qur'an,14:41]. {2} " na uwainamishie bawa la unyenyekevu kwa kuwaonea huruma.na useme:"mola wangu mlezi!warehemu kama walivyonilea utotoni."[qur'an,17:24]. Mtoto anaweza kuugua mafua na kikohozi kati ya mara 3 8 kwa mwaka. wakati mwingine mtoto anaweza kupata maradhi haya kwa kufuatana. hata hivyo mtoto anayeishi nyumba moja na mtu anayevuta sigara yuko hatarini zaidi kupata mafua na kikohozi. dalili kuu za ugonjwa huu ni kukohoa na kutoa kamasi laini kama majimaji.

Comments are closed.