Ultimate Solution Hub

Dua Ya Kujikinga Na Uchawi Hasad Na Majini Shkh Izzudin Ah

Assalaam aalaykum,please follow, share, like & comment to our social platforms,facebook: inshaallah tv onlineinstagaram: inshaallahtv onlinetelegram: inshaal. Dua ya kujikinga na mabaya yote | uchawi | masheytwan | hasad | vijicho | sheikh shariff said john#masjidmtorotv #sheikh shariff said john.

Hizi ni baadhi ya faida zitokanazo na surat nnas, kutibu maradhi mbalimbali ya kishirikina,ngome ya kujikinga na husda za washirikina, kumvuta mtu alioko mba. Dawa ya kujikinga na na kukinga ulimwengu wako wa kiroho uchawi ni sayansi ya ndani yaani sayansi ya siri, inayo tumika katika ulimwengu usio onekana. sayansi hii, imegawanyika katika makundi makuu. Hakika ni kuwa uchawi ni ukafiri na shirki. uchawi unampeleka mtu kutoingia peponi kama alivyosema nabiy (swalla allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam): "haingii peponi mlevi chakari, wala mwenye kuamini uchawi wala mwenye kukata undugu" [ibn hibbaan]. uislamu kuupinga ushirikina umefunga njia zinazotupelekea huko, mojawapo ni kufunga hirizi. Post hii itakufundisha dua za kuomba wakati wa woga, wasiwasi na kujikinga na wachawi na mashetani. dua za kuondoa wasiwasi, sihiri na uchawi. 1.kutaka hifadha dhidi ya vitimbi vya shetani na wasiwasi ni jambo ambalo allah ametuamrisha kulifanya. hivi pia ndivyo ambavyo mtume wetu alikuwa akifanya. amesema allah (s.w): “na sema: mola wangu mlezi!.

Hakika ni kuwa uchawi ni ukafiri na shirki. uchawi unampeleka mtu kutoingia peponi kama alivyosema nabiy (swalla allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam): "haingii peponi mlevi chakari, wala mwenye kuamini uchawi wala mwenye kukata undugu" [ibn hibbaan]. uislamu kuupinga ushirikina umefunga njia zinazotupelekea huko, mojawapo ni kufunga hirizi. Post hii itakufundisha dua za kuomba wakati wa woga, wasiwasi na kujikinga na wachawi na mashetani. dua za kuondoa wasiwasi, sihiri na uchawi. 1.kutaka hifadha dhidi ya vitimbi vya shetani na wasiwasi ni jambo ambalo allah ametuamrisha kulifanya. hivi pia ndivyo ambavyo mtume wetu alikuwa akifanya. amesema allah (s.w): “na sema: mola wangu mlezi!. 29,116. feb 23, 2016. #1. mwandishi: dokta. mungwa kabili….0744 000 473. nimekuwa nikipokea barua pepe kutoka kwa watu mbalimbali, wakitaka kujua masuala mbalimbali kuhusu ulozi, uchawi na jinsi ya kujikinga dhidi ya uchawi na ulozi.kwa kuwa muda na nafasi haviniruhusu kumjibu kila mmoja kwa wakati wake, nitayajibu maswali yote hapa bloguni. Namuomba allaah mtukufu rabb wa ‘arshi tukufu akuponyeshe. [hadiyth ya ‘abdullaahi bin ‘abbaas (radhwiya allaahu ’anhumaa) kwamba nabiy (swalla allaahu ’alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ( (hapana mja yeyote muislamu anayemtembelea mgonjwa ambaye wakati wake wa kufa bado haujafika na akamuombea mara saba, isipokuwa allaah.

Comments are closed.