Ultimate Solution Hub

Dua Ya Kurudisha Ubayauchawi Majini Kwa Alie Kufanyia Dua Ya Kinga

dua ya Kukhitimisha kwa Watu 35 Wa Awam ya Kwanza ya Allah Tunakuomba
dua ya Kukhitimisha kwa Watu 35 Wa Awam ya Kwanza ya Allah Tunakuomba

Dua Ya Kukhitimisha Kwa Watu 35 Wa Awam Ya Kwanza Ya Allah Tunakuomba Dua ya kuamka kutoka usingizini. sifa njema zote ni za mwenyezi mungu ambae ametupa uhai baada ya kutufisha na nin kwake tu kufufuliwa. (bukhar, katika fathul baar 11 113) hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila mwenyezi mungu peke yake hana mshirika, ni wake ufalme, na ni zake sifa njema, na yeye juu ya kila kitu ni muweza, ametakasika. Dua ya maiti ya mtoto mchanga wakati wa kumswalia. dua ya kumhani aliyefiwa. dua ya kumuingiza maiti ndani ya kaburi. dua baada ya kumzika maiti. dua ya kuzuru makaburi. dua ya upepo mkali. dua ya radi. dua ya kuomba mvua. dua ya mvua inaponyesha.

dua ya kurudisha Ubaya Uchawi majini kwa alie kufanyia ођ
dua ya kurudisha Ubaya Uchawi majini kwa alie kufanyia ођ

Dua Ya Kurudisha Ubaya Uchawi Majini Kwa Alie Kufanyia ођ Ewe mwenyezi mungu mja wako na mtoto wa kijakazi chako, ni muhitaji wa rehema yako, nawe huhitaji na kumuadhibu, kwahiyo akiwa ni mwema mzidishie katika mema yake, na akiwa ni muovu msamehe madhambi yake. dua ya kumuombea maiti wakati anaposwaliwa. kinga ya muislamu katika nyiradi za qur ani na hadithi za mtume. Namuomba allaah mtukufu rabb wa ‘arshi tukufu akuponyeshe. [hadiyth ya ‘abdullaahi bin ‘abbaas (radhwiya allaahu ’anhumaa) kwamba nabiy (swalla allaahu ’alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ( (hapana mja yeyote muislamu anayemtembelea mgonjwa ambaye wakati wake wa kufa bado haujafika na akamuombea mara saba, isipokuwa allaah. Mrorongo wa nyiradi na dua mbalimbali ambazo nimuhimu katika maisha ya muislam, ambazo zimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili.الحلقة السابعة من سلسلة الحلقات ا. Amesema amir ul muminiin al imam ‘ali ibn abi talib a.s. bihar al anwar, j.93,uk. 343: “mujiweke tayari kuomba dua katika nyakati tano: wakati isomwapo qur’an; wakati utolewapo aadhaan; wakati inaponyesha mvua; wakati wa kwenda kupigana katika vita vitakatifu kwa ajili ya kuwa shahidi; wakati madhulumu anapoomba dua, kwa sababu yeye hana.

dua ya Kuangamiza Maadui Zako Na kurudisha Mapigo kwa Waliokupa Youtube
dua ya Kuangamiza Maadui Zako Na kurudisha Mapigo kwa Waliokupa Youtube

Dua Ya Kuangamiza Maadui Zako Na Kurudisha Mapigo Kwa Waliokupa Youtube Mrorongo wa nyiradi na dua mbalimbali ambazo nimuhimu katika maisha ya muislam, ambazo zimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili.الحلقة السابعة من سلسلة الحلقات ا. Amesema amir ul muminiin al imam ‘ali ibn abi talib a.s. bihar al anwar, j.93,uk. 343: “mujiweke tayari kuomba dua katika nyakati tano: wakati isomwapo qur’an; wakati utolewapo aadhaan; wakati inaponyesha mvua; wakati wa kwenda kupigana katika vita vitakatifu kwa ajili ya kuwa shahidi; wakati madhulumu anapoomba dua, kwa sababu yeye hana. Kinga ya muislamu. [اللهم أعذه من عذاب القبر] أخرجه مالك في الموطأ 1 288 وابن أبي شيبه في المصنف 3 217 والبيهقي 4 9. [ewe mwenyezi mungu mlinde na adhabu ya kaburi] [imepokewa na imam maalik na ibnu abiy shayba na al bayhaqiy.] اللهم اجعله فرطاً وذخراً. Kwa ufupi zipo dua nyingi lakini qurani inatosha kabisa kufanya kila tunalolitaka. qurani inatosha kuwa kinga ya wachawi, majini na vijicho. dua zaidi tumeziwekakwenye app yetu iitwayo swala na dua. tumeweka kule kwa kuhofia kuirefusha app ii kuwa ndefu zaidi. tunasikiliza mawazo yenu wasomaji zaidi. kuiboresha app hii.

Comments are closed.