Ultimate Solution Hub

Dua Ya Kuvuta Wateja Kwenye Biashara Imamu Mponda Youtube

Dua ya biashara mujarabukatika video hii nimefunza na kuelekeza namna ya kuandaa dua au dawa ya kuvuta wateja kwa wingi katika biashara. About press copyright contact us creators advertise developers terms privacy press copyright contact us creators advertise developers terms privacy.

Dawa ya biasharakatika video utajifunza namna gani ambavyo unavyoweza kutengeneza dawa ya uvuto wa biashara kwa kuhitajia wateja kwa wingi katika biashara ya. August 3, 2024. 17682 views. jinsi ya kuvutia wateja kwenye biashara tanzania ni muhimu sana na haijalishi huduma au bidhaa yako ni kubwa kiasi gani. biashara yako haitazalisha pesa kama wateja hawatakuwa tayari kununua bidhaa au huduma yako kwasababu kukiwa hakuna wateja basi hakuna biashara. 1. Dawa ya kuvuta wateja katika biashara yako. leo nakufundisha njia rahisi kabisa kuliko zote ambayo pia niya uhakika katika kuvuta wateja katika biashara yako. kwanza kabisa upate miski halisi kabisa, chukua njiwa mweupe umchinje na damu yake uichanganye na hiyo miski. tumia hiyo kama wino uandikie maandishi unayoyaona katika picha hii hapa chini. Kukokotoa gharama za kupata wateja, kunapaswa kuanza na thamani ya maisha ya mteja kwenye biashara. hii ni jumla ya manunuzi yote ambayo mteja atayafanya kwenye biashara kwa kipindi ambacho atakuwa ananunua. tuchukue mfano wa kinyozi, ambaye anatoza tsh 2,000 = kunyoa, na mteja ananyoa angalau mara moja kila mwezi.

Dawa ya kuvuta wateja katika biashara yako. leo nakufundisha njia rahisi kabisa kuliko zote ambayo pia niya uhakika katika kuvuta wateja katika biashara yako. kwanza kabisa upate miski halisi kabisa, chukua njiwa mweupe umchinje na damu yake uichanganye na hiyo miski. tumia hiyo kama wino uandikie maandishi unayoyaona katika picha hii hapa chini. Kukokotoa gharama za kupata wateja, kunapaswa kuanza na thamani ya maisha ya mteja kwenye biashara. hii ni jumla ya manunuzi yote ambayo mteja atayafanya kwenye biashara kwa kipindi ambacho atakuwa ananunua. tuchukue mfano wa kinyozi, ambaye anatoza tsh 2,000 = kunyoa, na mteja ananyoa angalau mara moja kila mwezi. 11,981. dec 2, 2023. #1. wakuu mwenye kujua dawa ya kuvuta wateja naomba connection maana kuna business yangu nimefanya kila niwezalo ili kuvuta wateja nimetoka kapa. biashara kama haina wateja basi kifuatacho ni kifo cha biashara ili tusifike huko ni vizuri kujaribu namna nyingine ambazo zinaweza kuleta tija. nahitaji dawa ya kuvuta wateja. Njia 3 rahisi za kuongeza wateja kwenye biashara yako. ikiwa wewe ni mjasiriamali mchanga ni lazima unahitaji kuongeza wateja wapya kila siku na njia hizi zinaweza kukusaidia sana. zoom tanzania. 16 may 2024 • business. ikiwa wewe ni mjasiriamali mchanga au mwenye uzoefu wa kuhudumia wateja hadi 10,000 — kamwe huwezi kuchoka kutafuta wateja.

Comments are closed.