Ultimate Solution Hub

Gharama Ya Ujenzi Wa Nyumba Ya Ghorofa вђ Ujenzi

September 7, 2021 21 comments in makala za ujenzi by ujenzi makini. gharama ya ujenzi wa mradi ndio kitu cha kwanz aambacho kila mtu huwa anafikiria pale anapoanza kufikiria kuhusu kujenga, kitu ambacho ni sahihi kabisa kwa sababu gharama husika ndio inayoamua kama utajenga na kama utajenga ni kwa ukubwa gani au utajumuisha vitu gani. Jf expert member. oct 9, 2014. 291. 737. jun 19, 2022. #1. wataalam naomba rough estimate ya msingi wa kijumba chenye ghorofa moja, ukubwa wake ni 7680x9270. gharama ya msingi hadi kufunga mkanda ni kiasi gani cha fedha, eneo ni flat kabisa. je, hatua au mbinu gani unaweza kufanya kupunguza gharama zisizo za lazima?.

Feb 26, 2015. 2,380. 2,933. mar 13, 2024. #17. mtanzania1989 said: ujenzi wa ghorofa ni tofauti na ujenzi wa nyumba ya chini, kwenye ghorofa utamwaga zege na mawe na nondo za kutosha tu kwenye zege chini. shughuli ipo pia kwenye ujenzi wa slab ya first floor. nondo peke yake ni zaidi ya milioni 15. Awe na plan ya kujenga ghorofa isiyozidi mita 10 kwa 8. kama anakiwanja, aanze kukusanya matirio. akifikia kwenye slab, akope benki au chanzo chochote anachokiamini. baada ya hapo aendelee na ujenzi na hatimaye amalize. kujenga atajenga, ila tofauti ni kwenye muda wa kumaliza ujenzi; anaweza kutumia miaka hata 6. Hivyo ukichukulia tofali 1,300 za kuta kwenye ule mfano wetu, itakuwa kama ifuatavyo. tofali 1,300 gawanya kwa 60 = 21.6 sawa na mifuko 22 ya cement. nb: (ikumbukwe watu wengine hufanya mfuko 1 wa cement unajenga tofali 70 mpaka 90 za kuta, za kusimama), pia hii ni ili kupunguza gharama. nb: kipimo cha mchanga. Gharama ya kujenga kwa malighafi imara haitofautiani sana na gharama ya kujenga kwa malighafi feki. kuwa na amani pamoja na imani na jengo lako kwa kulipenda kwa kuhakikisha unafanya kazi ya uhakika kwa kufanya maamuzi sahihi ya kununua vyenye ubora. architect sebastian moshi. whatsapp call 255717452790.

Hivyo ukichukulia tofali 1,300 za kuta kwenye ule mfano wetu, itakuwa kama ifuatavyo. tofali 1,300 gawanya kwa 60 = 21.6 sawa na mifuko 22 ya cement. nb: (ikumbukwe watu wengine hufanya mfuko 1 wa cement unajenga tofali 70 mpaka 90 za kuta, za kusimama), pia hii ni ili kupunguza gharama. nb: kipimo cha mchanga. Gharama ya kujenga kwa malighafi imara haitofautiani sana na gharama ya kujenga kwa malighafi feki. kuwa na amani pamoja na imani na jengo lako kwa kulipenda kwa kuhakikisha unafanya kazi ya uhakika kwa kufanya maamuzi sahihi ya kununua vyenye ubora. architect sebastian moshi. whatsapp call 255717452790. Nyumba za gharama nafuu zinaweza kuwa na ukubwa wa mita za mraba ~90sqm, gharama ya kujenga tsh. 25 – 40m. mfano hizi. nyumba za kawaida vyumba 3 au 4 zinaweza kwenda around tsh. 50m – 70m. mifano yake hii ukitoa maghorofa hayo. nyumba bungalow zinaweza kwenda around tsh. 90 – 125m. mifano yake hii na hii nyingine. Nyumba ya ghorofa ina mfumo tata wa mihimili. hata hivyo gharama hizo ni sehemu ndogo sana ya gharama za ujenzi kwa ujumla ambapo mara hazifikii hata asilimia 1% ya gharama zote za ujenzi wa jengo husika. architect sebastian moshi. whatsapp call 255717452790.

Nyumba za gharama nafuu zinaweza kuwa na ukubwa wa mita za mraba ~90sqm, gharama ya kujenga tsh. 25 – 40m. mfano hizi. nyumba za kawaida vyumba 3 au 4 zinaweza kwenda around tsh. 50m – 70m. mifano yake hii ukitoa maghorofa hayo. nyumba bungalow zinaweza kwenda around tsh. 90 – 125m. mifano yake hii na hii nyingine. Nyumba ya ghorofa ina mfumo tata wa mihimili. hata hivyo gharama hizo ni sehemu ndogo sana ya gharama za ujenzi kwa ujumla ambapo mara hazifikii hata asilimia 1% ya gharama zote za ujenzi wa jengo husika. architect sebastian moshi. whatsapp call 255717452790.

Comments are closed.