Ultimate Solution Hub

Gharama Za Ujenzi Wa Nyumba Vyumba Vitatu 3 Page 4 Jamiiforums

gharama Za Ujenzi Wa Nyumba Vyumba Vitatu 3 Page 4 Jamiiforums
gharama Za Ujenzi Wa Nyumba Vyumba Vitatu 3 Page 4 Jamiiforums

Gharama Za Ujenzi Wa Nyumba Vyumba Vitatu 3 Page 4 Jamiiforums Brighton christopher said: habari wapendwa kaka zangu na dada zangu naomba niulize gharama za ujenzi wa nyumba vyumba vitatu uwanja upon chalinze msoga maeneo ya hospital iwe na master room,2rooms sitting na dining just simple sio complicated pako flat.asanteni maximum niandae kiasi gani. 30m ukisimamia vizuri wewe mwenyewe unajenga nyumba ya. Nov 29, 2012. 3,706. 3,094. dec 25, 2016. #107. nina uzoefu wa ujenzi wa dom, dar, ar na rock city. on average ukiwa na 20mil unaweza jenga boma plus bati, ukihitaji msauz ongeza hapo 5m (total 25m), ukitaka kuanza ishi kwenye hiyo nyumba unahitaji at least 15m ili uwe na nyumba basi kabisa, ila ukihitaji makorombwezo ya ziada ongeza another 10m.

gharama za ujenzi wa nyumba vyumba vitatu 3 pageо
gharama za ujenzi wa nyumba vyumba vitatu 3 pageо

Gharama Za Ujenzi Wa Nyumba Vyumba Vitatu 3 Pageо Jf expert member. habarini wakuu, naomba kama kuna mwenye uzoefu anipe makadirio ya gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vi 3 (chumba kimoja self na viwili vya kawaida), sitting, dinning, jiko, (choo na bafu public). nataka kutumia matofali ya kuchoma ambapo tofali moja linauzwa sh 120. Hivyo ukichukulia tofali 1,300 za kuta kwenye ule mfano wetu, itakuwa kama ifuatavyo. tofali 1,300 gawanya kwa 60 = 21.6 sawa na mifuko 22 ya cement. nb: (ikumbukwe watu wengine hufanya mfuko 1 wa cement unajenga tofali 70 mpaka 90 za kuta, za kusimama), pia hii ni ili kupunguza gharama. nb: kipimo cha mchanga. Nyumba za gharama nafuu zinaweza kuwa na ukubwa wa mita za mraba ~90sqm, gharama ya kujenga tsh. 25 – 40m. mfano hizi. nyumba za kawaida vyumba 3 au 4 zinaweza kwenda around tsh. 50m – 70m. mifano yake hii ukitoa maghorofa hayo. nyumba bungalow zinaweza kwenda around tsh. 90 – 125m. mifano yake hii na hii nyingine. Nyumba ya vyumba vitatu na sebule ninaweza kutumia kiasi gani cha pesa.

Ramani Ya nyumba vyumba vitatu Yenye gharama Nafuu za ujenzi You
Ramani Ya nyumba vyumba vitatu Yenye gharama Nafuu za ujenzi You

Ramani Ya Nyumba Vyumba Vitatu Yenye Gharama Nafuu Za Ujenzi You Nyumba za gharama nafuu zinaweza kuwa na ukubwa wa mita za mraba ~90sqm, gharama ya kujenga tsh. 25 – 40m. mfano hizi. nyumba za kawaida vyumba 3 au 4 zinaweza kwenda around tsh. 50m – 70m. mifano yake hii ukitoa maghorofa hayo. nyumba bungalow zinaweza kwenda around tsh. 90 – 125m. mifano yake hii na hii nyingine. Nyumba ya vyumba vitatu na sebule ninaweza kutumia kiasi gani cha pesa. Gharama za ujenzi wa nyumba vyumba vitatu (3) chumba 1 ni tofari 500 x1000x3=1500×1000 bei ya tofari mpaka msingi anzia hapo. nature. ramani za nyumba vyumba vitatu. Mitazamo ya watu wengi wasio na uzoefu juu ya gharama za ujenzi iko mbali sana na uhalisia. ni kawaida kukuta kijana anakwambia anahitaji kujenga nyumba ya kiasi cha milioni saba za kitanzania au kufikiri labda nyumba inaweza kugharimu kiasi cha milioni kumi au ishirini. ukweli ni kwamba kwa makadirio ya chini kabisa na kwa kujitahidi.

Comments are closed.