Ultimate Solution Hub

Heri Ya Siku Ya Kuzaliwa Rais Samia Habarileo

heri Ya Siku Ya Kuzaliwa Rais Samia Habarileo
heri Ya Siku Ya Kuzaliwa Rais Samia Habarileo

Heri Ya Siku Ya Kuzaliwa Rais Samia Habarileo Na mwandishi wetu january 27, 2023. rais samia. rais samia suluhu hassan leo anatimiza umri wa miaka 63. alizaliwa januari 27, 1960 katika kijiji cha kizimkazi, mkoa wa kusini unguja, baba yake alikuwa mwalimu na mama yake alikuwa mama wa nyumbani. machi 19, 2021 aliapishwa kuwa rais wa tanzania na amiri jeshi mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama. Zanzibar: rais samia suluhu hassan ameungana na wananchi wa makundi mbalimbali kupanda miti 4720 inayotarajiwa ikiwemo miti 120 ya matunda. miti hiyo imepandwa katika eneo la donge muwanda jimbo la tumbatu lenye ukubwa wa ekari 35.7 ikiwa ni maadhimisho ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya rais samia.

Makamu Wa Kwanza Wa rais Zanzibar Amtakia heri Katika Kuadhimisha
Makamu Wa Kwanza Wa rais Zanzibar Amtakia heri Katika Kuadhimisha

Makamu Wa Kwanza Wa Rais Zanzibar Amtakia Heri Katika Kuadhimisha Ameandika rais samia kwenye ukurasa wake wa x akimtakia heri siku ya kuzaliwa, rais mstaafu jakaya kikwete. kikwete aliyewahi kuwa rais wa awamu ya nne anasherehekea siku ya “ahsante kwa utumishi wako kwa umma wa zaidi ya miaka 50 kwenye chama cha mapinduzi, jeshi la wananchi wa tanzania, na baadaye kama rais wa nchi yetu.”. Nikiwa zanzbar, mkoa wa unguja kaskazini, kijiji cha donge muwanda, nikipanda mti ishara ya "27 ya kijani" ambayo ni kampeni inayoenda sambamba na kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwa rais wa jmt mhe dkt samia suluhu hassan 27 januari ya kila mwaka. tupande miti ndugu zangu, bila mazingira mazuri hakuna maisha. view attachment 2884437. Pokea matakwa yangu ya siku yako ya kuzaliwa yenye furaha iliyojaa mapenzi. hongera, matakwa bora na miaka zaidi ya maisha na afya, amani na upendo! natumai una siku yenye baraka. hongera na uwe na siku ya kuzaliwa yenye furaha. hongera kwa siku nyingine ya kuzaliwa. mungu akupe miaka mingi yenye furaha tele. Mama samia suluhu hassan ni rais wa sita wa tanzania ambaye ameingia madarakani machi 2021 baada ya kifo cha mtangulizi wake john pombe magufuli. alikuwa makamu wa rais toka mwaka 2015.

Comments are closed.