Ultimate Solution Hub

Hii Ni Dua Nzuri Sana Ya Kumuombea Mama Youtube

Follow us on:facebook: facebook aqonlinetv instagram: instagram aqonlinetv?utm medium=copy linktwitter: twitter aqonline. Mama ndo kila kitu wale wanaodharau mama zao basi watubie kwani hio ni dhambi kubwa sana.

Sheikh muhammed nassor allah amemjalia uwezo mkubwa visomo vya ruqya ya kisheria amewasaidia watu wengi sana kutoka sehemu tofauti duniani wasiliana nae kwa. Jibu: amuombee du´aa. du´aa ni jambo zuri. akimtembelea ndugu yake amwombee du´aa. kuna unyonge katika hadiyth hii. lakini kuna matarajio kwake kujibiwa: أسأل الله العلي العظيم رب العرش العظيم أن يشفيك. “namuomba allaah mtukufu, mola wa ´arshi tukufu, akuponye.”. aombe mara saba. ابن ماجه 1 480 وأحمد 2 368. [ewe mwenyezi mungu, msamehe aliyehai katika sisi na aliyekufa, na aliyopo na asiyekuwepo, na mdogo kati yetu na mkubwa, na mwanamume kati yetu na mwanamke. ewe mwenyezi mungu unaemueka hai kati yetu basi mweke katika uislamu, na uliyemfisha basi mfishe juu ya iman. ewe mwenyezi mungu usitunyime thawabu. Uislamu dini yangu. april 25, 2019 ·. du'aa ya kumuombea mtu aliyeoa au waliooana kwa hakika du'aa inayosomwa kumuombea bwana harusi aliyeoa ni hii ifuatayo ; بارك الله لك, وبارك عليك, وجمع بينكما في خير. “allaah akubariki na akubarikie mke huyo na awakusanye pamoja katika kheri.” (abu daawuwd).

Comments are closed.