Awamu Ya Pili Kambi Ya Mafunzo Kwa Washiriki Wa Programu Ya Imbeju Crdb bank foudation ni kampuni tanzu ya benki ya crdb iliyoanzishwa na kusajiliwa mwaka 2022 kwa lengo mahsusi la kuwawezesha vijana na wanawake. kwa sasa taasisi hii inatekeleza programu ya imbeju iliyotengewa bajeti ya kuanzia kiasi cha shilingi bilioni 5 kwa ajili ya makundi hayo. “kutokana mikakati tuliyojiwekea, benki yetu imekuwa kinara katika uwezeshaji wajasiriamali kwani hadi mei 2024 tulikuwa tumetoa zaidi ya shilingi bilioni 995.346 kwa zaidi ya wajasiriamali 21,470 katika sekta mbalimbali ikiwamo sekta ya kilimo, ujenzi na makazi, miundombinu, usafirishaji, afya, elimu, nishati, madini, biashara na viwanda, pamoja na uchumi wa buluu ili kuimarisha shughuli.
Benki Ya Crdb Yazindua Programu Ya Uwezeshaji Kwa Vijana Na Wanawake Hivi karibuni benki ya crdb ili tangaza matokeo ya programu shindani ya vijana ambapo vijana 706 waliwasilisha maombi huku 106 wakichaguliwa kushiriki mafunzo kabla ya kupewa mitaji wezeshi. “programu ya wanawake kupitia imbeju bado dirisha lipo wazi, na tumeendelea kuongeza nguvu kwa kushirikiana na care international ili tuwafikie wengi zaidi. Tangu kuzinduliwa kwa program ya imbeju yenye kaulimbiu ya “mtaji wezeshi kwa vijana na wanawake” inayotekelezwa kupitia taasisi ya crdb bank foundation, dirisha la kupokea maombi ya wabunifu wanaomiliki biashara changa lilifunguliwa ili kuwawezesha kwa mtaji, ujuzi wa kitaaluma na masoko vijana na wanawake wanaozimiliki. Newala. tarehe 22 oktoba 2023: katika kuwafikia na kuwanufaisha zaidi wanawake wajasiriamali, crdb bank foundation imeshiriki mkutano mkuu wa nne wa mwaka wa but vicoba uliowakutanisha zaidi wanachama 3,500 kutoka vikundi 318 vilivyoshiriki na kutoa mtaji wezeshi wa fedha taslimu na pikipiki. Benki ya crdb imesaini makubaliano ya kushirikiana na shirika la care international kuwawezesha wanawake kupata mafunzo ya namna bora ya uendeshaji wa biashara, usimamizi wa fedha na mitaji, pamoja na kuwapatia mitaji wezeshi ya kujikwamua kiuchumi kupitia program ya imbeju. akizungumza kwenye hafla ya kusaini makubaliano hayo, mkurugenzi mtendaji wa crdb bank foundation, tully […].
Imbeju Ya Benki Ya Crdb Yatoa Mtaji Wezeshi Shili Newala. tarehe 22 oktoba 2023: katika kuwafikia na kuwanufaisha zaidi wanawake wajasiriamali, crdb bank foundation imeshiriki mkutano mkuu wa nne wa mwaka wa but vicoba uliowakutanisha zaidi wanachama 3,500 kutoka vikundi 318 vilivyoshiriki na kutoa mtaji wezeshi wa fedha taslimu na pikipiki. Benki ya crdb imesaini makubaliano ya kushirikiana na shirika la care international kuwawezesha wanawake kupata mafunzo ya namna bora ya uendeshaji wa biashara, usimamizi wa fedha na mitaji, pamoja na kuwapatia mitaji wezeshi ya kujikwamua kiuchumi kupitia program ya imbeju. akizungumza kwenye hafla ya kusaini makubaliano hayo, mkurugenzi mtendaji wa crdb bank foundation, tully […]. Mwambapa also invited young people to participate in a special empowerment seminar organized by the crdb bank on march 11, 2023, at the julius nyerere international hall. the event will introduce the program to the official market, and empowerment will begin. the prime minister, hon. kassim majaliwa, is expected to be the official guest at the. Benki ya crdb ndio benki ya kwanza nchini tanzania kutambuliwa na kampuni ya kimataifa ya utafiti ya moody’s investors service kuwa moja kati ya benki 10 imara na salama afrika katika uwekezaji. moody’s imeipa benki ya crdb daraja la uimara la b1 ambapo ni daraja la juu zaidi kupatikana kwa mabenki na taasisi za fedha katika ukanda wa.
Waziri Mkuu Awataka Vijana Na Wanawake Kuchangamkia Programu Ya Imbeju Mwambapa also invited young people to participate in a special empowerment seminar organized by the crdb bank on march 11, 2023, at the julius nyerere international hall. the event will introduce the program to the official market, and empowerment will begin. the prime minister, hon. kassim majaliwa, is expected to be the official guest at the. Benki ya crdb ndio benki ya kwanza nchini tanzania kutambuliwa na kampuni ya kimataifa ya utafiti ya moody’s investors service kuwa moja kati ya benki 10 imara na salama afrika katika uwekezaji. moody’s imeipa benki ya crdb daraja la uimara la b1 ambapo ni daraja la juu zaidi kupatikana kwa mabenki na taasisi za fedha katika ukanda wa.
Imbeju Ya Benki Ya Crdb Yatoa Mtaji Wezeshi Shili