Ultimate Solution Hub

Injinia Hersi Apiga Mkwara Mzito Wachezaji Yanga Ligi Ya Mabingwa

yanga Ranking In Africa 2023 Caf ligi Kuu Tanzania ligi Kuu Tanzania
yanga Ranking In Africa 2023 Caf ligi Kuu Tanzania ligi Kuu Tanzania

Yanga Ranking In Africa 2023 Caf Ligi Kuu Tanzania Ligi Kuu Tanzania Gamondi amesema boka ni mchezaji ambaye amekuwa akijituma zaidi kuanzia mazoezini ambapo huwa anawahi na kuanza mwenyewe mazoezi kabla ya pamoja, lakini pia juhudi zake hizo anazionyesha pia kwenye mechi huku akimsifia kwa kuwa na nidhamu ya mchezo. wakati huohuo, rais wa yanga, injinia hersi said, kwa upande wake ameonekana kuridhishwa na. Unyonge haupo kwa mabingwa wa ligi kuu bara yanga inayodhaminiwa na sportpesa kutokana na kupanga kufanya usajili mkubwa ambao utakuwa na matokeo chanya kwa mechi za kitaifa na kimataifa. ikumbukwe kwamba yanga ni mabingwa wa ligi msimu wa 2023 24 wakiwa na pointi 80 baada ya kucheza mechi 30.nyota wao namba moja kwa utupiaji ni aziz ki.

injinia Hersi Apiga Mkwara Mzito Wachezaji Yanga Ligi Ya Mabingwa
injinia Hersi Apiga Mkwara Mzito Wachezaji Yanga Ligi Ya Mabingwa

Injinia Hersi Apiga Mkwara Mzito Wachezaji Yanga Ligi Ya Mabingwa Septemba 10, mwaka huu, zalan watakuwa wenyeji, mechi ikitarajiwa kuchezwa uwanja wa azam complex, dar, kisha septemba 17, yanga watakuwa wenyeji kwenye uwanja wa mkapa, dar. juzi jumanne, yanga ilitoka sare ya mabao 2 2 dhidi ya azam katika mchezo wa ligi kuu bara ambapo injinia hersi amesema mechi hiyo imewapa mazoezi tosha. Rais wa yanga, injinia hersi said. baada ya juzi jumamosi kutangazwa rasmi kuwa mabingwa wa ligi kuu bara msimu wa 2022 23, rais wa yanga, injinia hersi said ameweka wazi kuwa bado hawajamaliza, msimu sasa mipango yao ni kuhakikisha wanashinda makombe ya michuano miwili iliyosalia ambayo ni kombe la shirikisho afrika na kombe la shirikisho la azam sports. Wakati huohuo, rais wa yanga, injinia hersi said, kwa upande wake ameonekana kuridhishwa na namna timu hiyo inavyocheza huku akisema ubora ulioonyeshwa katika mchezo wa fainali ya ngao ya jamii ndiyo unaotakiwa ndani ya yanga. hersi amebainisha kwamba, katika kipindi cha usajili ambacho kinaelekea ukingoni, wameshusha wachezaji ambao wamekuwa. Yanga ilikuwa inatetea taji la ngao ya jamii baada ya kulitwaa msimu wa 2022 23, kwenye fainali dhidi ya simba msimu huu ilipoteza taji hilo kwa kufungwa penalti 3 1. injinia hersi amesema nguvu kubwa kwa kilichotokea ni sehemu ya mpira, hivyo wanapambana kufanya vizuri kwenye mashindano mengine ambayo wanashiriki ili kutwaa mataji.

Rais Wa yanga injinia hersi Atangaza Vita Mpya ya Usajili вђ Global
Rais Wa yanga injinia hersi Atangaza Vita Mpya ya Usajili вђ Global

Rais Wa Yanga Injinia Hersi Atangaza Vita Mpya Ya Usajili вђ Global Wakati huohuo, rais wa yanga, injinia hersi said, kwa upande wake ameonekana kuridhishwa na namna timu hiyo inavyocheza huku akisema ubora ulioonyeshwa katika mchezo wa fainali ya ngao ya jamii ndiyo unaotakiwa ndani ya yanga. hersi amebainisha kwamba, katika kipindi cha usajili ambacho kinaelekea ukingoni, wameshusha wachezaji ambao wamekuwa. Yanga ilikuwa inatetea taji la ngao ya jamii baada ya kulitwaa msimu wa 2022 23, kwenye fainali dhidi ya simba msimu huu ilipoteza taji hilo kwa kufungwa penalti 3 1. injinia hersi amesema nguvu kubwa kwa kilichotokea ni sehemu ya mpira, hivyo wanapambana kufanya vizuri kwenye mashindano mengine ambayo wanashiriki ili kutwaa mataji. N kanoute na ngoma nyota wa simba wakishangilia moja ya bao kwenye mchezo wa ushindani. source: simba. mabingwa mara 30 ndani ya ligi kuu bara yanga wamebainisha kuwa ndani ya miaka 7 wakidhaminiwa na kampuni ya sportpesa wamefanikiwa kupiga hatua kubwa kwenye ulimwengu wa michezo kitaifa na kimataifa huku wakiwaacha vitani simba na azam fc kugombania nafasi ya pili. Baada ya kukabidhiwa rasmi mfano wa hundi ya shilingi milioni 537.5 sawa na nusu bilioni kutoka kwa wadhamini wao wakubwa kampuni ya sportpesa, rais wa yanga injinia hersi said ametamba kuwa kikosi hicho kinatarajiwa kufanya usajili mzito wa kuboresha kikosi chao kwa ajili ya msimu ujao wa 2024 25.

Comments are closed.