Ultimate Solution Hub

Jifunze Kuosha Maiti

jifunze Kuosha Maiti Youtube
jifunze Kuosha Maiti Youtube

Jifunze Kuosha Maiti Youtube .subscribe to our channel on the following link @asadiqmedia?sub confirmation=1#asadiqmedia. Namna ya kumuosha maiti hatua kwa hatua. 1.kuoshwa (kukoshwa). mazingatio kabla ya kuosha maiti. (a)maiti ya kiume ioshwe na wanaume na maiti ya kike ioshwe na wanawake pia. maiti ya mtoto yaweza kuoshwa na yeyote. ni sunnah mke kumuosha mumewe na mume kumuosha mkewe pia. (b)ni mtu mmoja tu ndiye anayeosha na mwingine ni kwa ajili ya kumpa.

jifunze Jinsi Ya Kuiosha maiti Ya Kiislamu Mpaka Kuiswalia Youtube
jifunze Jinsi Ya Kuiosha maiti Ya Kiislamu Mpaka Kuiswalia Youtube

Jifunze Jinsi Ya Kuiosha Maiti Ya Kiislamu Mpaka Kuiswalia Youtube Utaratibu wa kumwosha malti. (a) baada ya kusafishwa mwili wake wote kwa sabuni (au kitu kingine) na kuondoshwa uchafu wa aina yo yote kama (madawa, marhamu au mafuta) ndipo huyo mwoshaji mwislamu atamwosha ghusli tatu (mara tatu kuoshwa). ni sunna kabla ya kuanza kumwogesha maiti ghusli tatu, atamwosha mikono yake mara tatu, kwa kila ghusli. 1. maiti ya kiume ioshwe na wanaume na maiti ya kike ioshwe na wanawake. watoto wadogo wanaweza kuoshwa na wanaume au wanawake.pia ni sunnah mke kumuosha mumewe na mume kumuosha mkewe. 2. ni mtu mmoja tu anayeosha na mwingine wengine wa kumpa msaada pale atakapohitajia. 3. ni muhimu muoshaji ayafahamu masharti ya kuosha maiti ya muislamu. Kuosha maiti. : 2: 156; sisi ni wa na kwake tutarejea. kuosha maiti (kiarabu: غسل الميت) ni moja ya majosho ya faradhi (wajibu), ambayo inahusu kuosha maiti ya muislamu kwa mfumo maalum. katika josho hili, maiti yapaswa kuoshwa mara tatu kwa maji yaliyochanganywa na majani ya mkunazi (cedar), maji yaliyochanganywa na karafuu maiti na. Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (edk form 2: dhana ya elimu ya uislamu) namna ya kuosha maiti hatua kwa hatua. maiti awekwe juu ya kitanda chenye tobo katikati ili kupitisha uchafu unaotoka tumboni. pawepo na shimo (ufuo) usawa wa tobo la kitanda, kama hakuna uwekano chombo kiwepo cha kukingia uchafu unaotoka kwa maiti.

Comments are closed.