Ultimate Solution Hub

Jwtz Yakabidhiwa Magari 40 Na Jeshi La Ukombozi China Jpm Asisitiza

Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na amiri jeshi mkuu, mhe. dkt. john pombe magufuli amemshukuru rais wa jamhuri ya watu wa china, mhe. xi jinping kwa. Eshi la ukombozi la watu wa china (pla) limetoa magari 40 kwa jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania (jwtz) huku rais wa tanzania, john magufuli aliyepokea magari hayo akipongeza jeshi hilo na kutoa ombi jingine kwa pla. dar es salaam. rais wa tanzania, john magufuli amemshukuru rais wa china, xi jinping kwa kuuendeleza ushirikiano na uhusiano.

Rais wa tanzania, dkt john pombe magufuli leo alhamisi, septemba 12, 2019 ameshuhudia makabidhiano ya magari 40 kwa jwtz kutoka jeshi la ukombozi wa watu wa china (pla) katika makao makuu ya jwtz jijini dar es salaam. view this post on inst. Rais dkt john pombe leo ameshuhudia makabidhiano ya magari 40 kwa jwtz kutoka jeshi la ukombozi wa watu wa china. #makabidhiano #china #ushirikianowetu. Jeshi la ukombozi wa watu wa china (pla) limekabidhi jeshi la ulinzi la wananachi wa tanzania (jwtz) magari 40. magari hayo yamepokelewa na rais john magufuli ambaye amemshukuru rais wa jamahuri ya watu wa china xi jinping kwa kuendeleza ushirikiano na uhusiano mzuri wa tanzania na china ikiwemo misaada ya uekezaji ambayo china inaufanya hapa. Jeshi la ukombozi wa watu wa china (pla) limekabidhi jeshi la ulinzi la wananachi wa tanzania (jwtz) magari 40 . magari hayo yamepokelewa na rais john magufuli ambaye amemshukuru rais wa china xi jinping kwa kuendeleza ushirikiano na uhusiano mzuri wa tanzania na china ikiwemo misaada ya uwekezaji. alisema pamoja na kusaidia serikali katika maeneo mbalimbali ya huduma za jamii, ulinzi na.

Jeshi la ukombozi wa watu wa china (pla) limekabidhi jeshi la ulinzi la wananachi wa tanzania (jwtz) magari 40. magari hayo yamepokelewa na rais john magufuli ambaye amemshukuru rais wa jamahuri ya watu wa china xi jinping kwa kuendeleza ushirikiano na uhusiano mzuri wa tanzania na china ikiwemo misaada ya uekezaji ambayo china inaufanya hapa. Jeshi la ukombozi wa watu wa china (pla) limekabidhi jeshi la ulinzi la wananachi wa tanzania (jwtz) magari 40 . magari hayo yamepokelewa na rais john magufuli ambaye amemshukuru rais wa china xi jinping kwa kuendeleza ushirikiano na uhusiano mzuri wa tanzania na china ikiwemo misaada ya uwekezaji. alisema pamoja na kusaidia serikali katika maeneo mbalimbali ya huduma za jamii, ulinzi na. Kamanda hassan amesema mazoezi hayo yanakwenda sambamba na maadhimisho ya miaka 60 ya jwtz ambayo kilele chake ni septemba mosi, mwaka huu. naye kapteni mwandamizi wa jeshi la ukombozi, li bo amesema wamefika nchini tanzania kubadilishana mbiu na uzoefu wa kijeshi na jwtz na kwamba ana imani watajijenga na kuwa imara kwa pamoja. (jwtz) na jeshi la ukombozi la watu wa china. akizungumza mapema leo kwenye ufunguzi wa mazoezi hayo yaliyofanyika katika kituo cha mafunzo ya kijeshi mapinga, mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, jenerali jacob john mkunda amesema ushirikiano wa majeshi ya nchi hizi mbili ni wa kihistoria na mpaka sasa tumeshasaidiana mambo mengi sana.

Comments are closed.