Ultimate Solution Hub

Kamati Ya Utendaji Yanga Yakutana Faragha Kuyajenga Bin Zubeiry

Kamati ya utendaji yanga sc chini ya rais hersi ally said jana ilifanya kikao cha kikatiba kwa mwaka 2023 katika hoteli ya serena jijini dar es salaam. kikao kilizungumzia mambo mbalimbali ya kimaendeleo kwa klabu hiyo ikiwa ni pamoja na maandalizi ya mkutano mkuu wa wanachama utakaofanyika jumamosi ijayo jijini dar es salaam. Mabingwa wa tanzania, yanga wamefanikiwa kutetea mataji yote baada ya jioni hii kutwaa pia na kombe la shirikisho la soka tanzania (tff), maarufu kama azam sports federation cup (asfc) kufuatia ushindi wa 1 0 dhidi ya azam fc uwanja wa mkwakwani jijini tanga. shujaa wa yanga leo ni mshambuliaji wa kimataifa wa zambia, kennedy musonda aliyefunga.

Sasa kamati ya utendaji yanga inabaki na wajumbe watano wa kuchaguliwa ambao ni hamad islam, mhandisi bahati faison mwaseba, dominick ikute, arafat haji na saad khimji pamoja na dk. athumani kihamia. Kamati ya utendaji yanga sc chini ya rais hersi ally said jana ilifanya kikao cha kikatiba kwa mwaka 2023 katika hoteli ya serena jijini dar es salaam. kikao kilizungumzia mambo mbalimbali ya kimaendeleo kwa klabu hiyo ikiwa ni pamoja na maandalizi ya mkutano mkuu wa wanachama utakaofanyika jumamosi ijayo jijini dar es salaam. View attachment 274127. bin zubeiry anaendelea hapa anamzungumzia wakala gibby kalule, aliyemleta bossou. "si unangalia mtu ana misuli, wasifu mzuri unampa fomu na mkataba mnono. huyo wakala ambaye amewaletea yanga sc bossou ndiye aliyewaletea sherman na ndiye ambaye aliwaletea azam fc mchezaji anaitwa leonel saint preux. leonel alifukuzwa. 17k views, 531 likes, 13 comments, 9 shares, facebook reels from azamsports: cafcc: “tumepokelewa vizuri na wenyeji” maneno ya mjumbe wa kamati ya utendaji ya yanga sc, munir said suleiman cafcc: “tumepokelewa vizuri na wenyeji” maneno ya mjumbe wa kamati ya utendaji ya yanga sc, munir said suleiman akizungumza na @mahmoud bin.

View attachment 274127. bin zubeiry anaendelea hapa anamzungumzia wakala gibby kalule, aliyemleta bossou. "si unangalia mtu ana misuli, wasifu mzuri unampa fomu na mkataba mnono. huyo wakala ambaye amewaletea yanga sc bossou ndiye aliyewaletea sherman na ndiye ambaye aliwaletea azam fc mchezaji anaitwa leonel saint preux. leonel alifukuzwa. 17k views, 531 likes, 13 comments, 9 shares, facebook reels from azamsports: cafcc: “tumepokelewa vizuri na wenyeji” maneno ya mjumbe wa kamati ya utendaji ya yanga sc, munir said suleiman cafcc: “tumepokelewa vizuri na wenyeji” maneno ya mjumbe wa kamati ya utendaji ya yanga sc, munir said suleiman akizungumza na @mahmoud bin. Mwenyekiti wa kamati ya usimamizi wa klabu ya yanga iliyoundwa leo lucas mashauri anasema lengo kuu la kamati hiyo ni ubingwa wa #ligikuutanzaniabara facebook log in. The latest tweets from mahmoud bin zubeiry (@bin zubeiry). a proud tanzanian father🏃of two girls 👭and two boys 👬 serving @azamtv🙏worked @newhabari, theguardian & free media.

Comments are closed.