Kata Ya Bukumi Musoma Vijijini Yapatiwa Mifuko Ya Saruji 200 Ujenzi Wa Jumatano, 3.8.2022 mbunge wa jimbo la musoma vijijini ametoa saruji mifuko 200 (mia mbili) kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa zahanati 3 na vyumba vipya 2 vya madarasa ndani ya kata ya bukumi. kata ya bukumi yenye vijiji vinne (buira, bukumi, buraga na busekera) ina zahanati moja tu, ambayo iko kwenye kijiji cha buraga, kitongoji […]. Juzi jumatano, 10.8.2023, mbunge huyo, akiambatana na kamati ya siasa ya ccm ya wilaya ya musoma vijijini, aliendesha harambee kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho. matokeo ya harambee ya kijijini chimati: *wanakijiji & wazaliwa wa hapo saruji mifuko 123 *kamati ya siasa (ccm) ya wilaya saruji mifuko 25 *mbunge wa jimbo saruji mifuko 200.
Kata Ya Bukumi Musoma Vijijini Yapatiwa Mifuko Ya Saruji 200 Ujenzi Wa *saruji mifuko 8 *fedha taslimu tsh 1,508,000 *wazaliwa wa kata ya bukumi & wadau wengine tsh 1,500,000. mbunge wa jimbo *saruji mifuko 150 (ameanza kwa kutoa 75) mfuko wa jimbo (mwenyekiti, mbunge wa jimbo) *saruji mifuko 200 *nondo 49. maombi kutoka kwa wananchi wa musoma vijijini. April 25, 2023. wananchi wa musoma vijijini wameiomba halmashauri ya wilaya hiyo (musoma dc) ianze kuchangia ujenzi wa maabara za masomo ya sayasi kwenye sekondari zake za kata, tofauti na sasa ambapo inaratibu fedha zinazotolewa na serikali kuu. hayo yalielezwa jana na mbunge wa jimbo hilo, profesa sospeter muhongo, wakati akizungumzia uamuzi. Rejea taarifa yetu ya jumatatu, 6.11.2023 kuhusu umuhimu wa kujenga maabara tatu za masomo ya sayansi kwenye sekondari ya mtiro ya kata ya bukumi. ujenzi wa aina hii unafanyika kwenye sekondari zote za jimbo la musoma vijijini (25 za kata serikali na 2 za binafsi za madhehebu ya katoliki & sda) ujenzi wa maabara tatu za […]. Na shomari binda musoma mbunge wa jimbo la musoma vijijini profesa sospeter muhongo ameendelea kuhamasisha uchangiaji wa ujenzi wa maabara za masomo ya.