Ultimate Solution Hub

Kero Ya Kukatika Kwa Umeme Mara Kwa Mara Tanesco Kanda Ya

kero Ya Kukatika Kwa Umeme Mara Kwa Mara Tanesco Kanda Ya Kusini
kero Ya Kukatika Kwa Umeme Mara Kwa Mara Tanesco Kanda Ya Kusini

Kero Ya Kukatika Kwa Umeme Mara Kwa Mara Tanesco Kanda Ya Kusini 46 minutes ago. #1. mimi ni mkazi wa mbagala, mbande, na kwa kweli hali ya umeme katika maeneo haya ni ya kutisha. maeneo yote yanayozunguka chamanzi, mbande, na kisewe yanakumbwa na matatizo makubwa yanayohusiana na huduma ya umeme kutoka tanesco. katika kipindi cha wiki mbili zilizopita, taa sita ndani ya nyumba ninayoishi zimeungua pamoja na. Sababu nyingi zimetolewa ikiwemo upungufu wa maji kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme.mvua nyingi imenyesha lakini cha ajabu hali ya upatikanaji wa umeme imezidi kuwa mbaya sana. pamoja na umeme kukatwa kwa utaratibu wa mgao lakini matukio ya kukatika umeme siku ambazo sio za mgao yamezidi sana.

tanesco Kyela Yajibu Kuhusu Kukatikakatika umeme mara kwa mara Youtube
tanesco Kyela Yajibu Kuhusu Kukatikakatika umeme mara kwa mara Youtube

Tanesco Kyela Yajibu Kuhusu Kukatikakatika Umeme Mara Kwa Mara Youtube Nafasi, mchambuzi wa habari za uchumi na siasa. 29 machi 2022. waziri wa nishati wa tanzania, january makamba amesema hivi karibuni kuwa matatizo ya kukatika kwa umeme mara kwa mara nchini. Mkuu wa mkoa wa lindi godfrey zambi ameliagiza shirika la umeme tanzania tanesco kanda ya kusini, kuhakikisha kuwa umeme unaozalishwa na kituo cha umeme kinachotumia gesi asilia mkoani mtwara kugawa umeme sawa katika mikoa ya lindi na mtwara, ili kuondoa kero ya kukatika mara kwa mara kwa umeme mkoani lindi. Muktasari: dar es salaam. siku moja baada ya wizara ya nishati kusema kuwa kero ya kukatika kwa umeme inatarajiwa kuisha januari 2024, katibu wa itikadi na uenezi wa ccm, paul makonda amewataka watendaji wa shirika la umeme (tanesco), kujitathmini utendaji wao kutokana na tatizo hilo. jana desemba 20, 2023 katibu wa katibu mkuu wizara ya. Umeme bado ni mashaka makubwa tu tanzania. licha ya serikali tanzania kudai kuwa imeimarisha ugavi wa umeme kwa kusambaza huduma hiyo katika maeneo mbalimbali ikiwamo vijijini, sehemu kubwa.

Comments are closed.