Jinsi Ya Kutoa Vitundu Usoni Na Makunyanzi Na Kuondoa Chunusi ођ Karibuni tena wapenzi kwenye video nyingine hii mask ni nzuri sana kwa kuondoa na kupunguza mafuta sioni, makovu na vitundu( pores) video nyingine za mask nz. Unaweza kunipata kwa instagram:bariki.kfacebook:bariki karoli for sponsorship, business : email address :bariki.karoli@gmail.
Jinsi Ya Kuondoa Mafuta Na Madoa Sugu Usoni Skincare Youtube Youtu.be pjd8cvtn78alink hii inaonyesha mask ya ute wa yai. usisite kutazama. Jinsi ya kuondoa chunusi usoni kwa kwa haraka zaidi. na:mr tibalishe chunusi ni vipele vinavyojitokeza katika ngozi hususan sehemu za usoni, kifuani na mgongoni kutokana na mafuta kushindwa kutoka kwenda nje ya mwili (juu ya ngozi ya nje). huweza kutokea kwa mtu yeyote aliyepevuka kimwili, japokuwa wanawake hutokewa zaidi na vipele hivi. Chunusi hutofautiana na vipele (pimples in swahili) vya kawaida kwa kuwa chunusi husababisha vipele vingi kwa wakati mmoja na mara nyingi vipele hivi hujirudiarudia. kuondoa chunusi usoni. chunusi ni tatizo la kawaida na huwapata watu wengi japo mara moja katika maisha yao. kwa kawaida, chunusi huanza wakati wa balehe na hupungua katika utu uzima. Kusaidia afya ya ini na figo ini na figo ni viungo muhimu vinavyohusika katika kuondoa sumu mwilini. kusaidia afya zao kunaweza kuongeza uwezo wa mwili wako wa kuondoa sumu. kula vyakula vyenye manufaa kwa afya ya ini, kama vile mboga za cruciferous, vitunguu, manjano, na chai ya kijani.