Ultimate Solution Hub

Live Usichokijua Kuhusu Misimamo Viongozi Chadema Na Huu Ndo Ukweli

Ukweli kuhusu msimamo wa viongozi chadema. Chadema pamoja na viongozi mbalimbali wanaongea muda huu@mgawe tv.

Awali, mkuu wa mkoa wa dar es salaam, albert chalamila amekutana na wafuasi na wanachama wa chadema na kuwapa salamu za kubariki maandamano hayo akidai ni za rais samia suluhu hassan. chalamila anayeongoza shughuli za usafi jijini dar es salaam, leo asubuhi aliwasili eneo la mbezi luis ambako maandamano ya chama hicho cha upinzani yalianzia. 🔴#live: mapya ikulu, ukweli kuhusu mkataba wa korea zuhura yunus na viongozi wengine wakizungumzamkurugenzi ya mawasiliano ya rais, ikulu bi. zuhura yunus. Ugumu wa maisha unaotokana na kupanda kwa gharama za maisha sambamba na mabadiliko cha sheria za uchaguzi umeteka maandamano ya chama kikuu cha upinzani tanzania, chadema. Viongozi hao wa chadema, akiwamo mwenyekiti wa kitaifa, freeman mbowe, katibu mkuu john john mnyika, makamu mwenyekiti tundu lisuu na john pambalu, wameeleza kwa kina jinsi walivyokamatwa, kuteswa.

Ugumu wa maisha unaotokana na kupanda kwa gharama za maisha sambamba na mabadiliko cha sheria za uchaguzi umeteka maandamano ya chama kikuu cha upinzani tanzania, chadema. Viongozi hao wa chadema, akiwamo mwenyekiti wa kitaifa, freeman mbowe, katibu mkuu john john mnyika, makamu mwenyekiti tundu lisuu na john pambalu, wameeleza kwa kina jinsi walivyokamatwa, kuteswa. 13.08.2024 13 agosti 2024. viongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini tanzania. chadema, wameachiwa kwa dhamana baada ya kukamatwa kuelekea maandamano ya vijana yaliyokuwa yamepangwa kufanyika. *kuhusu maridhiano* kamati kuu inaazimia kwamba mazungumzo kati ya chadema na serikali ccm kuhusu maridhiano ya kisiasa nchini yaendelee kwa kuzingatia mambo yafuatayo: 1. kuondolewa haraka iwezekanavyo na bila masharti yoyote zuio haramu la mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa vya upinzani nchini. 2.

13.08.2024 13 agosti 2024. viongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini tanzania. chadema, wameachiwa kwa dhamana baada ya kukamatwa kuelekea maandamano ya vijana yaliyokuwa yamepangwa kufanyika. *kuhusu maridhiano* kamati kuu inaazimia kwamba mazungumzo kati ya chadema na serikali ccm kuhusu maridhiano ya kisiasa nchini yaendelee kwa kuzingatia mambo yafuatayo: 1. kuondolewa haraka iwezekanavyo na bila masharti yoyote zuio haramu la mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa vya upinzani nchini. 2.

Comments are closed.