Ultimate Solution Hub

Mahakama Kuu Kuharamisha Bima Mpya Ya Afya Ya Jamii Shif Majaji Wamebaini Bima Hiyo Inakiuka Katiba

#ktnnews #ktnnewsdigital #ktnkenya #ktntv #ktnhome #kenyanews #genz welcome to the 24 7 ktn kenya news channel on – your trusted source for the late. Image: mahakama. mahakama kuu imetangaza kwamba mfumo huo wa bima ya afya ya jamii shif kuwa kinyume na katiba. wakati wakitoa uamuzi wao, majaji alfred mabeya, robert limo na friday mugambi walilipa bunge siku 120 kufanya marekebisho ya sheria hiyo. jopo hilo la majaji watatu lilisema bunge linapaswa kushirikisha umma kikamilifu kwa mujibu wa.

Odhiambo alikariri msimamo wa lsk kwamba mipango yote ya serikali inapaswa kutumikia maslahi ya umma na kuangazia maoni ya umma. rais wa chama cha wanasheria nchini kenya, faith odhiambo amepongeza uamuzi wa mahakama kuu kutangaza hazina ya bima ya afya ya jamii kuwa kinyume na katiba. "tumefurahishwa na uamuzi wa mahakama kuu kutangaza hazina. Rais william ruto ameendelea kupata anachotaka, huku uamuzi wa jana wa mahakama ya juu kuhusu bima ya afya ya jamii (shif) ikiwa sehemu ya mteremko anaoendelea kupata mahakamani. jana, majaji wa mahakama hiyo walimruhusu rais ruto awabebeshe wakenya mzigo zaidi, walipobatilisha agizo la mahakama kuu iliyokuwa imezuia ushuru huo wa asilimia 2.75. 0. mahakama ya rufaa imeiruhusu serikali kutekeleza hazina ya bima ya afya ya jamii, shif. hata hivyo, majaji patrick kiage, pauline nyamweya na ngenye macharia wamesitisha utekelezaji wa baadhi ya vipengee vya hazina hiyo hadi kesi iliyowasilishwa mahakamani hapo itakaposikilizwa na kuamuliwa. utekelezaji wa shif ulisimamishwa na mahakama kuu. R news. on. 12th july 2024. mpango wa serikali wa kuzindua mfumo mpya wa bima ya afya ya jamii (shif) ilikuchukua nafasi ya nhif umepata pigo baada ya mahakama kuu kutangaza kuwa ni kinyume cha katiba. mahakama ikitoa uamuzi huo ijumaa ya leo huku ikiongozwa na benchi ya majaji watatu inayojumuisha majaji alfred mabeya, robert limo, na fridah.

Comments are closed.