Majambazi Wateka Kituo Cha Mafuta Tunduma Wajibishana Na Polisi #tunduma #songwe #tanzania #live #ccm #momba #dc #raistarlive #ukraine. Ona namna majambazi walivyovamia kituo cha mafuta tunduma kamanda afunguka🔘je, na wewe una habari?🔘wasiliana na mwanahalisi tv ( 255 767 400402), 🔘whatsa.
Dk Magufuli Atangaza Kiama Cha Majambazi Wezi Na Mafisadi Katika Jul 4, 2007. 2,804. 89. dec 10, 2008. #1. kundi la majambazi muda mfupi uliopita yamevamia sheli ya total iliyoko makutano ya barabara ya morogoro rodi na kawawa rodi na kupora kiasi kikubwa cha pesa. mmiliki wa kituo hicho, george kritsos, ambaye pia ni mwenyekiti wa zamani wa klabu ya gymkhana, amejeruhiwa vibaya baada ya kupigwa risasi. Kundi hilo lililovalia sare za polisi lilidhulumu wahudumu waliokuwa zamu katika kituo cha barabara ya kangundo nairobi na kuwaibia ksh 5,000 picha za cctv zilionyesha washukiwa wa ujambazi wakijaribu kuingia katika afisi ya kituo hicho na kuvunja sefu bila mafanikio. Maafisa wa polisi huko kisii wanaendelea kuwasaka majambazi watano walionaswa kwenye kanda ya cctv wakipora mali katika kituo kimoja cha petroli eneo la ogem. Majambazi wa machakos: majambazi wenye sare za polisi wavamia kituo cha mafuta. polisi mjini matungulu machakos wachunguza kisa cha wizi. majambazi hao.
Majambazi Wawili Wauawa Mahabusu Wachimba Ukuta Kituo Cha Polisi Kati Maafisa wa polisi huko kisii wanaendelea kuwasaka majambazi watano walionaswa kwenye kanda ya cctv wakipora mali katika kituo kimoja cha petroli eneo la ogem. Majambazi wa machakos: majambazi wenye sare za polisi wavamia kituo cha mafuta. polisi mjini matungulu machakos wachunguza kisa cha wizi. majambazi hao. Kuna habari kuwa majambazi yapatayo 7 yamevamia kituo cha mafuta nje kidogo ya mji wa bukoba eneo la kagondo, mnamo saa mbili usiku wa leo na kumuua mlinzi na mmiliki wa kituo kwa risasi. mmiiki wa kituo mwenye asili ya kiarabu kajulikana kwa jina moja la maburuki ambaye ni mzaliwa wa karagwe. Jeshi la polisi mkoa njombe limefanikiwa kuwakamata majambazi watatu, baada ya kuwajeruhi kwa kuwapiga risasi, walipokuwa wakijaribu kuvamia kituo cha mafuta cha oryx, kilichopo mtaa wa mjimwema, mjini njombe, jirani na kituo kikuu cha mabasi cha mkoa wa njombe.