Sophie Mbeyu Blog Just In Majambazi Yavamia Kituo Cha Watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi, wamevamia kituo cha polisi cha staki shari jijini dar es salaam na kuwaua watu saba wakiwemo polisi wanne na raia watatu. Majambazi dar: warushiana risasi na polisi, walivamia kiwanda na kuvunja godauni kamanda wa polisi kanda maalum ya dar, jumanne muliro, leo julai 22, amefik.
Thenkoromo Blog Breaking News Majambazi Yavamia Kariakoo Wananchi Majambazi 'sugu' wauawa dar leo wakirushiana risasi na polisi, kamanda muliro ataja majina yao jeshi la polisi kanda maalum dar es salaam linaendelea na ope. Majambazi yavamia kituo cha polisi na kuua dar jumamosi, julai 18, 2015 โ updated on machi 26, 2021. Mkuranga na dar. hili linawezekana kuwa ni tukio la kwanza na la aina yake. majambazi wanaokisiwa kuwa sita, wakiwa na pikipiki tatu, juzi walivamia kituo kidogo cha polisi mkamba kilichopo kimanzichana, wilaya ya mkuranga, pwani na kuua askari mmoja na mgambo na kujeruhi mgambo mwingine na kisha kupora bunduki tano na risasi 60 usiku wa kuamkia juzi. Bunduki hizo ziliporwa julai 12 wakati watu wanaoaminika kuwa ni majambazi walipovamia kituo hicho cha polisi, ukonga โ dar es salaam na kuua askari wanne na watu wengine watatu. jana, naibu kamishna wa kanda ya kipolisi ya dar es salaam, simon sirro aliwaambia waandishi wa habari kuwa zaidi ya majambazi 10 wameshakamatwa na polisi.
Majambazi Wateka Kituo Cha Mafuta Tunduma Wajibishana Na Polisi Mkuranga na dar. hili linawezekana kuwa ni tukio la kwanza na la aina yake. majambazi wanaokisiwa kuwa sita, wakiwa na pikipiki tatu, juzi walivamia kituo kidogo cha polisi mkamba kilichopo kimanzichana, wilaya ya mkuranga, pwani na kuua askari mmoja na mgambo na kujeruhi mgambo mwingine na kisha kupora bunduki tano na risasi 60 usiku wa kuamkia juzi. Bunduki hizo ziliporwa julai 12 wakati watu wanaoaminika kuwa ni majambazi walipovamia kituo hicho cha polisi, ukonga โ dar es salaam na kuua askari wanne na watu wengine watatu. jana, naibu kamishna wa kanda ya kipolisi ya dar es salaam, simon sirro aliwaambia waandishi wa habari kuwa zaidi ya majambazi 10 wameshakamatwa na polisi. Jul 13, 2015. #1. kituo cha polisi staki shari ukonga kimevamiwa na majambazi sasa hivi. kuna askari na waliouawa. mkuu wa jeshi la polisi nchini, igp ernest mangu, ameithibitishia jamiiforums kutokea kwa tukio hilo katika katika kituo cha polisi stakishari, tukio ambalo lilitokea jana usiku, ambapo pia amewataka wananchi kuwa watulivu na kutoa. Tusilaumu sana inawezekana polisi wengi wamepelekwa ktk mafunzo kwa ajili ya kulinda amani wakati wa uchaguzi.