Ultimate Solution Hub

Makamu Wa Rais Dkt Mpango Akagua Ujenzi Wa Jengo La

makamu Mpya wa rais Tanzania dkt Philip mpango Atajwa Youtube
makamu Mpya wa rais Tanzania dkt Philip mpango Atajwa Youtube

Makamu Mpya Wa Rais Tanzania Dkt Philip Mpango Atajwa Youtube Dodoma. waziri wa nchi waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira) mhe. dkt. ashatu kijaji (kushoto) akikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi hiyo unaoendelea katika mji wa serikali, mtumba jijini dodoma leo jumatatu tarehe 08 juklai, 2024). kulia ni naibu waziri ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira) mhe. Naibu waziri ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira), mhe. khamis hamza khamis akizungumza jambo wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi hiyo unaoendelea katika mji wa serikali, mtumba jijini dodoma leo tarehe 08 julai, 2024. kushoto ni waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira) dkt.

makamu Wa Rais Dkt Mpango Akagua Ujenzi Wa Jengo La Ccm Mkoa wa Pwani
makamu Wa Rais Dkt Mpango Akagua Ujenzi Wa Jengo La Ccm Mkoa wa Pwani

Makamu Wa Rais Dkt Mpango Akagua Ujenzi Wa Jengo La Ccm Mkoa Wa Pwani Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira) mhe. dkt. selemani jafo akimsikiliza naibu katibu mkuu (muungano) bw. abdallah hassan mitawi alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la utawala la ofisi ya makamu wa rais unaoendelea katika mji wa serikali, mtumba jijini dodoma leo tarehe 02 julai, 2024. Ofisi ya makamu wa rais ilisaini mkataba wa sh. bilioni 18.8 na suma jkt na kuanza ujenzi wa jengo hilo oktoba 13, 2021 ambapo mradi huo unatarajiwa kukamilika ifikapo novemba 2023. kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa jengo hilo kutawezesha watumishi wa ofisi hiyo kuongeza tija, morali na ufanisi katika usimamizi na utekelezaji wa majukumu yao. Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira) mhe. dkt. selemani jafo ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la utawala la ofisi ya makamu wa rais unaondelea katika mji wa serikali, mtumba jijini dodoma leo tarehe 02 julai, 2024. pamoja na kutembelea maeneo mbalimbali ya jengo hilo, pia amekagua ujenzi. Makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe. dkt. philip mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa meneja mradi wa ujenzi wa jengo la ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira mhandisi kanali saul chiwanga wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo lililopo mtumba mkoani dodoma tarehe 31 julai 2024.

makamu Wa Rais Dkt Mpango Akagua Ujenzi Wa Jengo La Ccm Mkoa wa Pwani
makamu Wa Rais Dkt Mpango Akagua Ujenzi Wa Jengo La Ccm Mkoa wa Pwani

Makamu Wa Rais Dkt Mpango Akagua Ujenzi Wa Jengo La Ccm Mkoa Wa Pwani Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira) mhe. dkt. selemani jafo ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la utawala la ofisi ya makamu wa rais unaondelea katika mji wa serikali, mtumba jijini dodoma leo tarehe 02 julai, 2024. pamoja na kutembelea maeneo mbalimbali ya jengo hilo, pia amekagua ujenzi. Makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe. dkt. philip mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa meneja mradi wa ujenzi wa jengo la ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira mhandisi kanali saul chiwanga wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo lililopo mtumba mkoani dodoma tarehe 31 julai 2024. Mpango ametoa agizo hilo agosti 20, 2024 alipotembelea eneo kinapojengwa chuo hicho kukagua maendeleo ya ujenzi ambapo amesema veta ndio mkombozi wa ajira kwa vijana. “kwa kipaumbele ni muhimu sana tupate vyuo vya veta katika makao mkuu ya nchi ambavyo vitaleta athari chanya kwa vijana wetu na ikawe mfano katika maeneo mengine” alisema dkt. Mjumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi (ccm), makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe. dkt. philip mpango ambaye ni mlezi wa ccm mkoa wa pwani akijadiliana jambo jambo na waziri wa mifugo na uvuvi abdallah ulega katika harambee ya kuchangia ujenzi wa jengo la shughuli za kiuchumi za chama cha mapinduzi mkoa wa pwani iliyofanyika jana juni 29, katika hoteli.

Comments are closed.