Ultimate Solution Hub

Makamu Wa Rais Dkt Mpango Azindua Viwanda Vya Idara

makamu Mpya wa rais Tanzania dkt Philip mpango Atajwa Youtube
makamu Mpya wa rais Tanzania dkt Philip mpango Atajwa Youtube

Makamu Mpya Wa Rais Tanzania Dkt Philip Mpango Atajwa Youtube Picha ofisi ya makamu wa rais. ***** makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt. philip mpango leo tarehe 8 januari 2021 amezindua viwanda vya idara maalum za serikali ya mapinduzi zanzibar (smz) eneo la mtoni kvz wilaya ya magharibi a unguja. viwanda vilivyozinduliwa na makamu wa rais ni kiwanda cha ushoni na kiwanda cha viatu. Makamu wa rais. aidha, aliagiza wizara zote, taasisi za umma, wakala wa serikali, idara zinazojitegemea, sekretarieti za mikoa na serikali za mitaa, sekta binafsi, wanadiaspora na wadau wa maendeleo kutoa ushirikiano kwa timu ya maandalizi ya dira mpya ya maendeleo 2050 pale watakapohitajika kufanya hiyo.

makamu Wa Rais Dkt Mpango Azindua Viwanda Vya Idara Maalum Za Serikali
makamu Wa Rais Dkt Mpango Azindua Viwanda Vya Idara Maalum Za Serikali

Makamu Wa Rais Dkt Mpango Azindua Viwanda Vya Idara Maalum Za Serikali Na mipango dkt. natu mwamba). makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa dkt. philip mpango akizindua rasmi mchakato wa maandalizi ya dira ya taifa ya. maendeleo 2050, hafla iliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa jakaya. kikwete mkoani dodoma leo tarehe 03 aprili 2023 (kulia ni waziri wa fedha. Kwa ajili ya viwanda vya tanzania. makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe. dkt. philip mpango akihutubia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa jukwaa la mifumo ya chakula barani afrika kwa mwaka 2023(agrf) katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha julius nyerere jijini dar es salaam. tarehe 05 septemba 2023. Meza kuu iliyoongozwa na makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, mhe. dkt. philip isdor mpango, wakiwa katika picha ya pamoja na menejimenti ya wizara ya fedha na mipango baada ya uzinduzi wa mchakato wa maandalizi ya dira ya maendeleo ya taifa 2050, jijini dodoma. na farida ramadhani, wfm dodoma. Mhe. dkt. mpango amesisitiza juu ya umuhimu wa kulinda usalama katika mifumo ya kiwanda hicho kwa kuzingatia viwango ili kuondoa uwezekano wa mifumo hiyo kuhujumiwa na hivyo kuathiri ubora wa bidhaa. katika hatua nyingine makamu wa rais ametembelea na kukagua shughuli mbalimbali zinazofanywa katika kiwanda cha uchambuzi na ufungashaji.

makamu Wa Rais Dkt Mpango Azindua Viwanda Vya Idara Maalum Za Serikali
makamu Wa Rais Dkt Mpango Azindua Viwanda Vya Idara Maalum Za Serikali

Makamu Wa Rais Dkt Mpango Azindua Viwanda Vya Idara Maalum Za Serikali Meza kuu iliyoongozwa na makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, mhe. dkt. philip isdor mpango, wakiwa katika picha ya pamoja na menejimenti ya wizara ya fedha na mipango baada ya uzinduzi wa mchakato wa maandalizi ya dira ya maendeleo ya taifa 2050, jijini dodoma. na farida ramadhani, wfm dodoma. Mhe. dkt. mpango amesisitiza juu ya umuhimu wa kulinda usalama katika mifumo ya kiwanda hicho kwa kuzingatia viwango ili kuondoa uwezekano wa mifumo hiyo kuhujumiwa na hivyo kuathiri ubora wa bidhaa. katika hatua nyingine makamu wa rais ametembelea na kukagua shughuli mbalimbali zinazofanywa katika kiwanda cha uchambuzi na ufungashaji. Makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt. philip isdor mpango amesema kuwa sekta ya viwanda ni muhumu katika kukuza uchumi wa nchi na kuboresha maisha ya watanzania pia ni muhimu kuhakikisha tunapata soko la uhakika la malighafi zinazopatikana nchini, kutoa ajira kwa wananchi na kuogeza mapato ya serikali pamoja na fedha za kigeni. Jamhuri ya muungano wa tanzania ofisi ya makamu wa rais hotuba ya mhe. dkt. philip isdor mpango, makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania katika ibada ya kumshukuru mungu kwa ajili ya askofu method kilaini, askofu msaidizi wa jimbo katoliki la bukoba, kufikisha miaka 50 ya upadre bukoba, kagera tarehe 19 machi 2022.

Comments are closed.