Ultimate Solution Hub

Makamu Wa Rais Mhe Dkt Philip Isdor Mpango Awapongeza Wana

Na robert hokororo omr, dodoma, tanzania. makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe. dkt. philip isdor mpango amewataka wananchi kutobeza mafanikio yaliyopatikana katika muungano na kwamba hatakuwa mpole kwa wale wote watakaojaribu kuuchezea muungano. dkt. mpango alisema hayo aprili 26, 2021 wakati akifungua kongamano la miaka 57. Makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, mhe. dkt. philip isdor mpango ametoa rai kwa mahakama na wadau wake kuelimisha wananchi kuhusu njia bora zaidi ya utatuzi wa migogoro yao na hususani njia ya usuluhishi ambayo ina faida nyingi ikiwemo kuokoa muda. akizungumza mapema leo tarehe 22 januari, 2023, katika hafla ya uzinduzi wa wiki.

1,343 likes, 66 comments dr philip isdor mpango on january 24, 2024: "kwa niaba ya mhe. rais dkt. samia suluhu hassan @samia suluhu hassan nimefanya mazungumzo na makamu wa rais wa jamhuri ya cuba mhe. salvador valdès mesa. mazungumzo yetu yamelenga kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa kihistoria kati ya mataifa yetu mawili hususani katika maeneo ya vipaumbele kama vile afya, elimu, kilimo. Jamhuri ya muungano wa tanzania ofisi ya makamu wa rais hotuba ya mhe. dkt. philip isdor mpango, makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania wakati wa ufunguzi wa shirikisho la michezo ya mashirika ya umma, taasisi na makampuni binafsi nchini (shimmuta) tarehe 20 novemba, 2022 jijini tanga. Rais samia suluhu hassan, tarehe 30 machi 2021, alimpendekeza dr. philip isdor mpango kuwa makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania. jina likapigiwa kura na wabunge 363 na hakuna zilizoharibika na kwamba, makamu wa rais mteule dr. philip isdor nzabhayanga mpango akakwangua kura zote 363 sawa na asilimia 100% ya kura zote zilizopigwa. Jamhuri ya muungano wa tanzania ofisi ya makamu wa rais hotuba ya mheshimiwa dkt. philip isdor mpango, makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kwenye mahafali ya 41 ya chuo kikuu huria cha tanzania uwanja wa furahisha mwanza tarehe 24 novemba, 2022.

Rais samia suluhu hassan, tarehe 30 machi 2021, alimpendekeza dr. philip isdor mpango kuwa makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania. jina likapigiwa kura na wabunge 363 na hakuna zilizoharibika na kwamba, makamu wa rais mteule dr. philip isdor nzabhayanga mpango akakwangua kura zote 363 sawa na asilimia 100% ya kura zote zilizopigwa. Jamhuri ya muungano wa tanzania ofisi ya makamu wa rais hotuba ya mheshimiwa dkt. philip isdor mpango, makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kwenye mahafali ya 41 ya chuo kikuu huria cha tanzania uwanja wa furahisha mwanza tarehe 24 novemba, 2022. Waziri wa afya mhe. ummy mwalimu akimpokea na kumkaribisha makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe. dkt. philip isdor mpango kwenye uzinduzi wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii utakaofanyika kwenye kituo cha mkutano cha kimataifa cha julius nyerere leo januari 31, 2024 jijini dar es salaam. dkt. Jamhuri ya muungano wa tanzania ofisi ya makamu wa rais hotuba ya mhe. dkt. philip isdor mpango, makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania katika ibada ya kumshukuru mungu kwa ajili ya askofu method kilaini, askofu msaidizi wa jimbo katoliki la bukoba, kufikisha miaka 50 ya upadre bukoba, kagera tarehe 19 machi 2022.

Comments are closed.