Ultimate Solution Hub

Makonda Ahimiza Upendo Na Kauli Nzuri Kwenye Kuhudumia Wananchi

makonda Ahimiza Upendo Na Kauli Nzuri Kwenye Kuhudumia Wananchi
makonda Ahimiza Upendo Na Kauli Nzuri Kwenye Kuhudumia Wananchi

Makonda Ahimiza Upendo Na Kauli Nzuri Kwenye Kuhudumia Wananchi Katibu wa nec itikadi, uenezi na mafunzo wa chama cha mapinduzi ndugu paul makonda amewataka watendaji wa mkoa wa rukwa kuwa na utamaduni wa kusikiliza kero za wananchi badala ya kusubiri watendaji wa serikali kuu kufika kwenye maeneo yao. mwenezi makonda ametoa wito huo mapema leo alipopita kwenye ukumbi wa halmashauri ya manispaa ya sumbawanga. Mkuu wa mkoa wa arusha, paul makonda, amewajibu wanaomtolea povu katika mitandao ya kijamii akieleza hatishwi na kauli zao ni sawa wanambembeleza na kumuongezea nguvu katika kazi zake. makonda ameyasema hayo leo akiwa kwenye ziara yake wilaya ya monduli mkoani arusha kwa ajili ya ukaguzi wa miradi na kutatua kero za wananchi.

makonda Ahimiza Upendo Na Kauli Nzuri Kwenye Kuhudumia Wananchi
makonda Ahimiza Upendo Na Kauli Nzuri Kwenye Kuhudumia Wananchi

Makonda Ahimiza Upendo Na Kauli Nzuri Kwenye Kuhudumia Wananchi Sintofahamu kauli za paul makonda. kusimamia vyombo vya habari vya chama, mawasiliano na uhamasishaji wa umma kwa jumla. kuongoza na kusimamia maandalizi ya sera, programu na ilani za uchaguzi za ccm na mwisho kusimamia utafiti, maktaba na nyaraka za chama. katikati ya mijadala hiyo, jana, makonda alikwenda bungeni na kuhudhuria kikao cha. Rais wa tanzania samia suluhu hassan amefanya mabadiliko ya viongozi mbalimbali katika serikali yake, wakiwemo mawaziri, naibu mawaziri, makatibu wakuu , wakuu wa mikoa na wilaya. Chama cha mapinduzi (ccm) kimemuita mkuu wa mkoa wa arusha, paul makonda kwenye kamati ya maadili. makonda anatarajiwa kufika mbele ya kamati hiyo jumatatu, aprili 22, 2024 asubuhi na kukutana na wajumbe wa kamati hiyo. hata hivyo, mwananchi inafahamu kuwa makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo aprili 20, 2024 majira ya asubuhi, lakini. Ni nzuri kwa sababu inaweka wazi kuharibika na kushindwa kazi kwa ccm na serikali yake na ni mbaya kwa sababu anaipa ‘oyee’ izidi kukaa madarakani wakati ni wazi haifai tena." mwenyekiti wa uwt, mary chatanda, alipotafutwa na nipashe jana, alikataa kuzungumzia kauli mpya ya makonda dhidi ya "wanaopiga kelele" kwa madai kuwa hajaisikia.

Comments are closed.