Makonda Awasiliana Waziri Bashungwa Akimtaka Kuongeza Nguvu Ujenzi Wa Katibu wa halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi taifa, itikadi, uenezi na mafunzo ndugu. paul makonda amempigia simu waziri wa ujenzi ndugu. innocent bashungwa na kumtaka kuongeza nguvu katika kukamilisha ujenzi wa barabara ya kakonko kuelekea halmashauri ya kakonko yenye urefu wa kilomita 3 kwa kiwango cha lami ambapo waziri bashungwa ameahidi kutekeleza ili wananchi kuondokana na changamoto. Waziri wa ujenzi innocent bashungwa akishuhudia utiaji saini mkataba ujenzi wa barabara ya dareda dongobeshi manyarawatch wasafi tv📺azam 411 | dstv.
Makonda Awasiliana Waziri Bashungwa Akimtaka Kuongeza Nguvu Ujenzi Wa *mwenezi makonda awasiliana na waziri wa ujenzi ndg. bashungwa kumtaka kuongeza nguvu katika ujenzi wa barabara ya kakonko halmashauri ya kakonko* katibu wa halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi. Waziri wa ujenzi, innocent bashungwa ameutaka wakala wa barabara (tanroads) mkoa wa lindi kuhakikisha wanamsimamia mkandarasi wa kampuni ya china railway 15. Mwenezi makonda abainisha kuwa serikali ya ccm chini ya rais samia yaielekeza wizara ya ujenzi kujenga barabara za njia nne mwanza katibu wa halmashauri kuu ya ccm taifa, itikadi, uenezi na mafunzo ndg. paul makonda ameendelea na ziara yake katika mikoa ya kanda ya ziwa ambapo leo tarehe 12. Dodoma; waziri wa ujenzi, innocent bashungwa amewasilisha bajaeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2024 2025 yenye vipaumbele tisa. akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa wizara yake kwa mwaka wa fedha 2024 25 bungeni mjini dodoma leo, waziri bashungwa amesema wizara ya ujenzi inatarajia kutekeleza mpango na bajeti kwa kuzingatia dira ya taifa ya maendeleo.
Makonda Awasiliana Waziri Bashungwa Akimtaka Kuongeza Nguvu Ujenzi Wa Mwenezi makonda abainisha kuwa serikali ya ccm chini ya rais samia yaielekeza wizara ya ujenzi kujenga barabara za njia nne mwanza katibu wa halmashauri kuu ya ccm taifa, itikadi, uenezi na mafunzo ndg. paul makonda ameendelea na ziara yake katika mikoa ya kanda ya ziwa ambapo leo tarehe 12. Dodoma; waziri wa ujenzi, innocent bashungwa amewasilisha bajaeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2024 2025 yenye vipaumbele tisa. akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa wizara yake kwa mwaka wa fedha 2024 25 bungeni mjini dodoma leo, waziri bashungwa amesema wizara ya ujenzi inatarajia kutekeleza mpango na bajeti kwa kuzingatia dira ya taifa ya maendeleo. Akitoa taarifa leo tarehe 25 machi 2024 waziri wa ujenzi, innocent bashungwa ameeleza kuwa jitihada kubwa zinaendelea za kurudisha mawasiliano ya barabara katika eneo hilo. “timu za tanroads kutoka mikoa ya lindi na pwani zimeungana kuongeza nguvu ili kabla ya mchana safari ziweze kuendelea. Video: sakata la ujenzi wa barabara bukoba, paul makonda apiga simu kwa waziri bashungwa na kutoa maagizo mazito. habarimpyatv · original audio.