Ultimate Solution Hub

Makubwa Ya Rais Samia Mkurugenzi Manispaa Temeke Aanika Makubwa

makubwa Ya Rais Samia Mkurugenzi Manispaa Temeke Aanika Makubwa
makubwa Ya Rais Samia Mkurugenzi Manispaa Temeke Aanika Makubwa

Makubwa Ya Rais Samia Mkurugenzi Manispaa Temeke Aanika Makubwa Temeke municipal council: home. #uhondo #uhondotv.

makubwa Yaliyofanywa Na rais samia Siha Ni Moto Wa Kuotea Mbali
makubwa Yaliyofanywa Na rais samia Siha Ni Moto Wa Kuotea Mbali

Makubwa Yaliyofanywa Na Rais Samia Siha Ni Moto Wa Kuotea Mbali Mkurugenzi wa manispaa ya temeke, elihuruma mabelya akihutubia mbele ya msemaji mkuu wa serikali na watendaji wengine kutoka maeneo mbalimbali ameeleza namna. Karibu utembelee banda la halmashauri ya manispaa ya temeke katika maonesho ya wakulima nanenane 2024. #tukutanemorogoro #nanenane #nanenane2024 #kaziiendelee🇹🇿🇹🇿 @samia suluhu hassan @ikulu mawasiliano @viwandabiashara @ortamisemi @msemajimkuuwaserikali @tantradetz @dc temeke @elihurumamabelya @abdallah mtinika @kevin flip mhidze @bethaminga06 @lwizafulgence @jasdeepsinghbabhra. Miradi hii imegawanywa katika awamu, kuna awamu ya kwanza ambayo inaishia mwaka 2020 ambapo kutakuwa na utengenezaji wa barabara za kilomita 96 za kiwango cha lami na mifereji yake zikitekelezwa ndani ya kata 6 zilizopo katika manispaa ya temeke.mwajiri wa miradi hiyo atabaki kuwa mkurugenzi wa manispaa na tarura inaendelea kuwa msimamizi pekee, hivyo tutaendelea kutekeleza miradi mingine. Kumbuka kuwa kufanya ujenzi wowote bila kibali iwe ni wa makazi,biashara,uzio au ukarabati kwenye maeneo yote ya ndani ya manispaa ya temeke ni kosa kisheria. hatua kali zitachukuliwa kwa yeyote atakaekiuka kufanya ujenzi bila kibali,hatua hizo ni pamoja na kusimamisha ujenzi, kulipa faini na kubomoa jengo.

Comments are closed.