Ultimate Solution Hub

Mama Manji Aipa Yanga Ushindi Dhidi Ya Tabora United Youtube

Hiki hapa kikosi cha yanga leo dhidi ya tabora| tabora united vs yanga sc nbc premier league #yanga #yangasc #yangaleo #yangatv. Yatimaye mchezo wa ligi kuu soka tanzania bara baina ya tabora unite dhidi ya yanga umeahamishiwa uwanja wa jamuhuri dodoma baada ya yanga kutoridhishwa na b.

Tazama maandalizi ya wananchi kuikabili tabora united, yanga pia yafichua siri ya ushindi dhidi ya medeama sc kwenye ligi ya mabingwa afrika. 6,075 likes, 51 comments maulidkitenge on may 1, 2024: "wananchi wametinga hatua ya nusu fainali ya kombe la shirikisho la crdb (crdb federation cup) kufuatia ushindi mnono wa 3 0 dhidi ya tabora united katika dimba la azam complex, chamazi. ft: yanga sc 3 0 tabora united ⚽ azizi ki 35’ ⚽ musonda 66’ ⚽ guede 83’ #kitengesports". Hatimaye kiungo wa yanga pacome zouzoua leo anarudi uwanjani kwa mara ya kwanza tangu kuumia na kuzusha taharuki kubwa. kwenye kikosi cha yanga kitakachocheza mchezo wa robo fainali ya kombe la shirikisho dhidi ya tabora united kiungo huyo ni kati ya wachezaji 18 watakaocheza mchezo huo. hata hivyo, mwanaspoti linafahamu kuwa kiungo huyo. #simbasc #ligikuutanzania #awesu #msimumpya #taboraunited #ushindi #mpirawatanzania.

Hatimaye kiungo wa yanga pacome zouzoua leo anarudi uwanjani kwa mara ya kwanza tangu kuumia na kuzusha taharuki kubwa. kwenye kikosi cha yanga kitakachocheza mchezo wa robo fainali ya kombe la shirikisho dhidi ya tabora united kiungo huyo ni kati ya wachezaji 18 watakaocheza mchezo huo. hata hivyo, mwanaspoti linafahamu kuwa kiungo huyo. #simbasc #ligikuutanzania #awesu #msimumpya #taboraunited #ushindi #mpirawatanzania. 3,013 likes, 60 comments mwananchi official on may 1, 2024: "ali kamwe ampa mbinu msemaji wa tabora united, christina mwagala za kuibuka na ushindi dhidi ya simba mechi ya ligi kuu bara itakayochezwa jumatatu mei 06, 2024. mwagala amesema simba hawana wanachotafuta zaidi ya kuangalia wasimalize nafasi ya tatu na anatafuta nafasi ya pili. ameongeza kuwa, tabora haiwezi kushuka daraja na wala. Kocha msaidizi wa simba, seleman matola alisema wapo tayari kukabiliana na tabora united leo. “unapocheza na timu kama tabora, mechi inakuwa ngumu. tumekuja tukiwa tumejiandaa, tuko vizuri pamoja na ugumu ambao watakuwa nao sababu ni muhimu kupata pointi tatu,” alisema matola. kocha wa tabora united, goran kopunovic alisema kuwa licha ya.

Comments are closed.