Ultimate Solution Hub

Manji Afariki Dunia Nipashe

Mfanyabiashara maarufu nchini, mwenyekiti na mdhamini wa zamani wa klabu ya yanga, yusuf manji amefariki dunia. taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na mtoto wake, mehboub manji, ambaye amesema mkurugenzi huyo wa kampuni ya quality group limited, alifariki dunia jumamosi juni 29, saa 6:00 usiku katika jimbo la florida nchini marekani alipokuwa anapatiwa matibabu. Manji (49), ambaye alifariki dunia jana, saa sita, akiwa florida, marekani, miezi miwili iliyopita alifanya mahojiano marefu na gazeti hili ambapo alizungumza mambo mengi kuhusiana na soka, hususan timu za yanga na simba. mtoto wa marehemu, mehabub manji amelithibitishia mwananchi kuhusu kifo cha baba yake akisema baba yake alianza kuungua.

Yusuf manji enzi za uhai wake mfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mdhamini wa klabu ya yanga, yusuf manji amefariki dunia jana jumamosi juni 29, 2024 saa 6 usiku katika jimbo la florida nchini marekani alipokuwa anapatiwa matibabu. taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na mtoto wake, mehbub. Muktasari: mtoto wa marehemu, mehbub manji, amethibitisha kwa mwanaspoti kuwa manji amefariki saa 6 usiku wa kuamkia leo. manji afariki dunia, wadau wamlilia. mwenyekiti na mfadhili wa zamani wa yanga, yusuf manji amefariki dunia usiku wa jana baada ya kuugua kwa muda mfupi. manji amekutwa na umauti huo juni 29, 2024 akiwa jijini florida. 1 3 minutes read. mfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mwenyekiti wa klabu ya yanga, yusuf manji amefariki dunia jumamosi juni 29, 2024 saa 6 usiku katika jimbo la florida nchini marekani alipokuwa anapatiwa matibabu. manji (49), ambaye alifariki dunia saa sita usiku akiwa miezi miwili iliyopita alifanya mahojiano marefu na gazeti hili ambapo. Breaking news: bilionea manji afariki dunia. june 30, 2024 1 min read. na mwandishi wetu, timesmajira online. aliyewahi kuwa mwenyekiti wa klabu ya yanga, diwani wa kata ya mbagala kuu kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (ccm) na mkurugenzi wa kampuni ya qualify group ltd, yusuph manji, amefariki dunia jana jumamosi, juni 29, 2024 huko florida.

Comments are closed.