Ultimate Solution Hub

Manji Aibuka Kwenye Mkutano Mkuu Yanga Picha Video вђ Global Publisher

Klabu ya yanga leo juni 27, 2021 wanafanya mkutano mkuu wa mwaka 2021 kwenye ukumbi wa dycc, uliopo zimbabwe road, temeke mkabala na chuo cha ualimu pamoja na uwanja wa benjamin mkapa. aliyekuwa mwenyekiti wa yanga sc yusufu manji (kulia) akisalimiana na mwenyekiti wa sasa wa timu hiyo, dr. mshindo msolla kwenye ukumbi wa dycc, uliopo zimbabwe. “mbele ya safari tutajua vipi tushiriki” maneno ya mwenyekiti wa zamani wa yanga sc, yusuph manji alipozungumza kwenye mkutano mkuu wa yanga sc #agm.tufuatil.

🔴#live: manji aibuka kwenye mkutano mkuu yanga, mstaafu kikwete mgeni rasmi, msolla, mwakalebela klabu ya yanga leo juni 27, 2021 wanafanya mkutano mkuu w. Tazama hali ilivyokuwa baada ya mwenyekiti wa zamani wa yanga sc, yusuph manji ‘kutinga’ kwenye mkutano mkuu wa klabu hiyo unaoendelea katika ukumbi wa dycc. Mwenyekiti wa yanga, dkt. mshindo msolla akitambulisha jezi namba 18 itakayovaliwa na juma balinya. klabu ya yanga ya jijini dar es salaam, leo imetambulisha jezi zake kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano ya ndani na kimataifa ambazo zimetengezwa na kampuni ya gsm ya dar es salaam. Mwenyekiti wa klabu ya yanga, yusuf manji (kushoto) akiongea.wilbert molandi, dar es salaammwenyekiti wa klabu ya yanga, yusuf manji, amewatangazia wanachama wake kuwa, kutakuwa na mkutano mkuu wa timu hiyo utakaofanyika jumamosi hii, agosti 6, mwaka.

Mwenyekiti wa yanga, dkt. mshindo msolla akitambulisha jezi namba 18 itakayovaliwa na juma balinya. klabu ya yanga ya jijini dar es salaam, leo imetambulisha jezi zake kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano ya ndani na kimataifa ambazo zimetengezwa na kampuni ya gsm ya dar es salaam. Mwenyekiti wa klabu ya yanga, yusuf manji (kushoto) akiongea.wilbert molandi, dar es salaammwenyekiti wa klabu ya yanga, yusuf manji, amewatangazia wanachama wake kuwa, kutakuwa na mkutano mkuu wa timu hiyo utakaofanyika jumamosi hii, agosti 6, mwaka. Manji aliwasili katika ukumbi wa dycc saa 11:07 ambapo mkutano mkuu wa yanga ndio ulikuwa unafanyika na gari aina ya nissan patrol huku nyuma akiongozana na gari mbili aina ya toyota land cruiser. wakati anafika zamunda alijitahidi kutoonekana kizembe lakini pia wanachama walikuwa wanamuangalia zaidi manji na sio mtu anayemuendesha. Mwenyekiti na mfadhili wa zamani wa yanga, yusuf manji amefariki dunia usiku wa jana baada ya kuugua kwa muda mfupi. manji amekutwa na umauti huo juni 29, 2024 akiwa jijini florida, marekani, akiwa anapatiwa matibabu. bado familia ya manji haijaweka wazi kilichokatisha uhai wa bilionea huyo, ingawa taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mtoto.

Manji aliwasili katika ukumbi wa dycc saa 11:07 ambapo mkutano mkuu wa yanga ndio ulikuwa unafanyika na gari aina ya nissan patrol huku nyuma akiongozana na gari mbili aina ya toyota land cruiser. wakati anafika zamunda alijitahidi kutoonekana kizembe lakini pia wanachama walikuwa wanamuangalia zaidi manji na sio mtu anayemuendesha. Mwenyekiti na mfadhili wa zamani wa yanga, yusuf manji amefariki dunia usiku wa jana baada ya kuugua kwa muda mfupi. manji amekutwa na umauti huo juni 29, 2024 akiwa jijini florida, marekani, akiwa anapatiwa matibabu. bado familia ya manji haijaweka wazi kilichokatisha uhai wa bilionea huyo, ingawa taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mtoto.

Comments are closed.