Ultimate Solution Hub

Maombi Madogo Ya Kumuondoa Hatiani Wakili Peter Madeleka Kutolewa

maombi Madogo Ya Kumuondoa Hatiani Wakili Peter Madeleka Kutolewa
maombi Madogo Ya Kumuondoa Hatiani Wakili Peter Madeleka Kutolewa

Maombi Madogo Ya Kumuondoa Hatiani Wakili Peter Madeleka Kutolewa Mahakama ya hakimu mkazi arusha inatarajia kutoa maamuzi ya maombi madogo ya jinai namba 1 2022 yaliyotolewa na peter michael madeleka dhidi ya jamhuri ya kumuondoa hatiani julai 29,2022 kutokana na hukumu ya kesi ya ujuhumu uchumi namba 40 2020 baada ya kusikilizwa julai 13, 2022. Awali agosti 1, 2023 mahakama ya hakimu mkazi arusha, ilimnyima dhamana madeleka anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 40 2020. akitoa uamuzi huo mdogo hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama huyo, fadhili mbelwa, alitupilia mbali ombi la dhamana ya wakili huyo lililowasilishwa mahakamani hapo na jopo la mawakili wake ambapo madeleka.

maombi madogo ya kumuondoa hatiani wakili peter madelek
maombi madogo ya kumuondoa hatiani wakili peter madelek

Maombi Madogo Ya Kumuondoa Hatiani Wakili Peter Madelek Picha mussa juma. by janeth mushi. arusha. mahakama kuu kanda ya arusha, imekubaliana na maombi ya rufaa ya wakili wa kujitegemea, peter madeleka na kumpatia dhamana. uamuzi huo umetolewa leo ijumaa septemba 9,2023 na kaimu naibu msajili wa mahakama hiyo, boniface semroki kwa niaba ya jaji wa mahakama kuu kanda ya arusha, yohane masara. Peter michael madeleka vs republic (criminal appeal no. 160 of 2022) [2023] tzhc 19103 (17 july 2023) copy media neutral citation [2023] tzhc 19103 copy. Kitaifa; maombi madogo ya kumuondoa hatiani wakili peter madeleka yahairishwa, hakimu asisitiza uzingatiaji wa muda. Mahakama kuu kanda ya arusha, imekubaliana na maombi ya rufaa ya wakili wa kujitegemea, peter madeleka na kumpatia dhamana. uamuzi huo umetolewa leo ijumaa septemba 9,2023 na kaimu naibu msajili wa mahakama hiyo, boniface semroki kwa niaba ya jaji wa mahakama kuu kanda ya arusha, yohane masara.

Comments are closed.