Ultimate Solution Hub

Matukio Michuzi Blog Mwenge Wa Uhuru Waanza Mbio Zake Mkoani Ruk

mwenge wa uhuru Wamaliza mbio Ruangwa Owm
mwenge wa uhuru Wamaliza mbio Ruangwa Owm

Mwenge Wa Uhuru Wamaliza Mbio Ruangwa Owm Mwenge wa uhuru watua lindi, kutembelea miradi 53. mkuu wa mkoa wa lindi mhe. zainab telack leo, mei 24, 2024 amepokea mwenge wa uhuru kutoka kwa mkuu wa mkoa wa kusini unguja mhe. ayoub mohammed mahmoud, ambapo unatarajia kuweka mawe ya msingi , kuweka ma we ya msingi na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni. Mwenge wa uhuru baada ya kuwasili mkoani singida mwenge huu ni ni kitu mfano wa kikombe chenye mpini mrefu na utambi ambacho aghalabu huwasha na kukimbizwa katika kusheherekea au kutukuza tukio fulani.

Ratiba Ya mbio Za mwenge wa uhuru 2024 Kijiwe Forum
Ratiba Ya mbio Za mwenge wa uhuru 2024 Kijiwe Forum

Ratiba Ya Mbio Za Mwenge Wa Uhuru 2024 Kijiwe Forum Michuzi blog at monday, april 15, 2024 habari, jamii, kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2024 godfrey mnzava katikati akifungua koki ya maji baada ya kuzindua mradi wa maji wa kuboresha hali ya upatikanaji wa huduma ya maji kata ya chongoleani jijini tanga unaofanywa na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira tanga (tanga uwasa) kulia. Akiongea mbele ya ugeni wa mbio za mwenge uliotembelea shamba hilo, msimamizi mkuu wa misitu wa kampuni hiyo, rashid salum amesema hatua hiyo ni mwendelezo wa mkakati wa kampuni ya alliance one ya kupanda miti katika maeneo mbalimbali ya kunakozalishwa tumbaku, ambapo walianzia kasulu mkoa wa kigoma mwaka 2014 ambako waliopanda miti katika hekta 450. Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru amour hamad amour akikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi wa kiwanda cha philip morris tanzania jana mjini morogoro. kushoto ni mkuu wa wilaya ya morogoro. ujenzi wa kiwanda hicho ambao utagharimu zaidi ya 60bn utawaongezea faida wakulima wa zao la tumbaku hapa nchini. Kwa mujibu wa kiongozi huyo wa mkoa, mwenge wa uhuru utakimbizwa katika wilaya sita na halmashauri tisa katika umbali wa kilomita zaidi ya 1,000 mkoani mara. amefafanua kuwa mwenge huo utapita katika miradi ya maendeleo 72 yenye thamani ya shilingi bilioni 24.961, ambayo imetekelezwa kutokana na michango iliyotolewa na wananchi, halmashauri.

Geraruma Atoa Maagizo Kwa Watendaji Viongozi Mapokezi Ya mbio Za
Geraruma Atoa Maagizo Kwa Watendaji Viongozi Mapokezi Ya mbio Za

Geraruma Atoa Maagizo Kwa Watendaji Viongozi Mapokezi Ya Mbio Za Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru amour hamad amour akikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi wa kiwanda cha philip morris tanzania jana mjini morogoro. kushoto ni mkuu wa wilaya ya morogoro. ujenzi wa kiwanda hicho ambao utagharimu zaidi ya 60bn utawaongezea faida wakulima wa zao la tumbaku hapa nchini. Kwa mujibu wa kiongozi huyo wa mkoa, mwenge wa uhuru utakimbizwa katika wilaya sita na halmashauri tisa katika umbali wa kilomita zaidi ya 1,000 mkoani mara. amefafanua kuwa mwenge huo utapita katika miradi ya maendeleo 72 yenye thamani ya shilingi bilioni 24.961, ambayo imetekelezwa kutokana na michango iliyotolewa na wananchi, halmashauri. Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa takukuru mkoa wa tanga imeanzisha uchunguzi wa miradi minne iliyobainika kuwa na mapungufu ilipozinduliwa wakati wa mbio za mwenge wa uhuru 2024. akizungumza leo na waandishi wa habari mkoani tanga wakati akitoa taarifa utendaji kazi wao kwa kipindi cha kuanzia aprili hadi juni 2024 kwa niaba ya mkuu wa. Mkurugenzi wa kituo cha sober house , al –karim bhanji (katikati)akizungumza jinsi wanavyoendesha kituo hicho wakati mwenge huo ulivyopita katika kituo hicho leo bagamoyo mkoani pwani.kushoto ni kiongozi wa mbio za mwenge 2017, amour hamd na kulia ni mkuu wa wilaya ya bagamoyo, alhaj madjid mwanga.

Comments are closed.