Ultimate Solution Hub

Matukio Michuzi Blog Mwenge Wa Uhuru Waanza Mbio Zake Mkoani Simiyu

mwenge wa uhuru Wamaliza mbio Ruangwa Owm
mwenge wa uhuru Wamaliza mbio Ruangwa Owm

Mwenge Wa Uhuru Wamaliza Mbio Ruangwa Owm Mwenge wa uhuru umeanza mbio zake rasmi leo katika mkoa wa simiyu ambapo utapitia jumla ya miradi 43 yenye thamani ya shilingi bilioni 8,450,841,622 =. hayo yamesemwa na mkuu wa mkoa wa simiyu, mhe.anthony mtaka wakati akitoa salamu za mkoa huo kwa kiongozi wa kitaifa wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2017 , ndg.amourhamad amour katika kijiji cha bukundi wilaya ya meatu ukitokea katika mkoa. Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa takukuru mkoa wa tanga imeanzisha uchunguzi wa miradi minne iliyobainika kuwa na mapungufu ilipozinduliwa wakati wa mbio za mwenge wa uhuru 2024. akizungumza leo na waandishi wa habari mkoani tanga wakati akitoa taarifa utendaji kazi wao kwa kipindi cha kuanzia aprili hadi juni 2024 kwa niaba ya mkuu wa.

Ratiba Ya mbio Za mwenge wa uhuru 2024 Kijiwe Forum
Ratiba Ya mbio Za mwenge wa uhuru 2024 Kijiwe Forum

Ratiba Ya Mbio Za Mwenge Wa Uhuru 2024 Kijiwe Forum Askari wa jeshi la polisi wakiulinda mwenge ishara ya kuwasili muda mfupi kabla ya kukabidhi kwa uongozi wa mkoa wa singida kushoto ni katibu tawala wa mkoa wa singida dkt angelina m. lutambi akimkabidhi mwenge mkuu wa wilaya ya manyoni mhe geofrey mwambe tayari kwa ajili ya kumulika miradi 18 katika wilaya hiyo. Mwenge wa uhuru watua lindi, kutembelea miradi 53. mkuu wa mkoa wa lindi mhe. zainab telack leo, mei 24, 2024 amepokea mwenge wa uhuru kutoka kwa mkuu wa mkoa wa kusini unguja mhe. ayoub mohammed mahmoud, ambapo unatarajia kuweka mawe ya msingi , kuweka ma we ya msingi na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni. Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa mwaka 2018, ndg. charles francis kabeho akimtwisha ndoo ya maji bi. joyce paulo mkazi wa kijiji cha kasoli wiayani bariadi mkoani simiyu mara baada ya kufungua mradi wa kisima kirefu cha maji kasoli, wakati mwenge wa uhuru ukiwa katika mbio zake wilayani humo, agosti 17, 2018. Michuzi blog at monday, april 08, 2024 habari, na oscar assenga,tanga. mwenge wa uhuru unatarajiwa kuwasili mkoani tanga aprili 9 mwaka huu ukitokea mkoani kilimanjaro ambapo utazinduaa miradi yenye thamani ya zaidi ya bilioni 40 na utakimbizwa kwenye halmashauri 11 za mkoa wa tangaa. mkuu wa mkoa wa tanga balozi batilda burian aliwaambia.

Comments are closed.