Ultimate Solution Hub

Mayele Aipeleka Yanga Nusu Fainali Kombe La Tff Bin Zubeiry Sports

mayele Aipeleka Yanga Nusu Fainali Kombe La Tff Bin Zubeiry Sports
mayele Aipeleka Yanga Nusu Fainali Kombe La Tff Bin Zubeiry Sports

Mayele Aipeleka Yanga Nusu Fainali Kombe La Tff Bin Zubeiry Sports Mayele aipeleka yanga nusu fainali kombe la tff. mshambuliaji mkongo, fiston kalala mayele ametokea benchi kuifungia yanga bao pekee ikiichapa geita gold 1 0 na kutinga nusu fainali ya kombe la shirikisho la soka tanzania (tff), maarufu kama azam sports federation cup (asfc) leo uwanja wa azam complex, chamazi jijini dar es salaam. Azİz kİ aipeleka yanga fainali kombe la tff, ihefu ‘yafa kiume’. mabingwa watetezi, yanga sc wamefanikiwa kwenda fainali ya kombe la shirikisho la soka tanzania (tff) ‘crdb bank federation cup’ baada ya ushindi wa 1 0 dhidi ya ihefu sc katika mchezo uliodumu kwa dakika 120 leo uwanja wa sheikh amri abeid jijini arusha.

mayele aipeleka yanga fainali Asfc bin zubeiry sports Onli
mayele aipeleka yanga fainali Asfc bin zubeiry sports Onli

Mayele Aipeleka Yanga Fainali Asfc Bin Zubeiry Sports Onli Timu ya coastal unión imefanikiwa kutinga nusu fainali ya ushindi wa 1 0 katika mchezo wa robó fainali ya kombe la shirikisho la soka tanzania (tff), michuano ambayo sasa inajulikana kama crdb bank federation cup baada ya ushindi wa 1 0 dhidi ya geita gold leo uwanja wa mkwakwani jijini tanga. pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, winga. Kiingilio cha chini katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la shirikisho la soka tanzania (tff), maarufu kama azam sports federation cup (asfc) baina ya watani, simba na yanga ni sh. 10,000 jumamosi. Nusu fainali nyingine ya azam sports federation cup baina ya azam fc na coastal union jumapili uwanja wa sheikh amri abeid jijini arusha itachezeshwa na ramadhani. Vigogo, yanga sc wamefanikiwa kwenda nusu fainali ya kombe la shirikisho la soka tanzania (tff), maarufu kama azam sports federation cup (asfc) baada ya ushindi wa 2 1 dhidi ya kagera sugar ya bukoba.

Comments are closed.