Ultimate Solution Hub

Mbowe Augua Ashindwa Kutokea Mahakamani Kisutu Kesi Yaahirishwa

Picha 16 kesi Ya Mdude yaahirishwa mbowe Na Mbilinyi Wafika mahakamani
Picha 16 kesi Ya Mdude yaahirishwa mbowe Na Mbilinyi Wafika mahakamani

Picha 16 Kesi Ya Mdude Yaahirishwa Mbowe Na Mbilinyi Wafika Mahakamani Dar es salaam. mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo( chadema) freeman mbowe, leo ameshindwa kufika mahakamani kwa sababu zilizoelezwa kuwa ni mgon. Mbowe augua ashindwa kutokea mahakamani kisutu, kesi yaahirishwa alhamisi, januari 17, 2019 — updated on machi 26, 2021 thank you for reading nation.africa.

Picha 16 kesi Ya Mdude yaahirishwa mbowe Na Mbilinyi Wafika mahakamani
Picha 16 kesi Ya Mdude yaahirishwa mbowe Na Mbilinyi Wafika mahakamani

Picha 16 Kesi Ya Mdude Yaahirishwa Mbowe Na Mbilinyi Wafika Mahakamani Malisa na meya wa zamani wa manispaa ya ubungo, boniface jacob ( 42) wanakabiliwa na kesi ya jinai namba 11805 2024 yenye mashitaka matatu ya kuchapisha taarifa za uongo katika mtandao wa kijamii wa x (twitter )na instagram, kinyume cha sheria. malisa alikamatwa baada ya kutoka katika chumba cha mahakama, kwenye mahakama ya kisutu ambapo leo. Bbc swahili. 18 februari 2022. mwenyekiti wa chama cha upinzani tanzania chadema freeman mbowe na wenzake watatu wana kesi ya kujibu . mahakama kuu divisheni ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi. Dar es salaam. mahakama ya hakimu mkazi kisutu, imeshindwa kuendelea na ushahidi katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa chadema, akiwemo mwenyekiti wake, freeman mbowe, kutokana na wakili wa washtakiwa hao, peter kibatala kutokuwepo mahakamani. Polisi jijini dar es salam wamewatawanya wafuasi wa chadema ambao walikuwa wamekusanyika nje ya mahakama ya kisutu kufuatilia kesi ya mwenye kiti wa chama hicho freeman mbowe.

Picha 16 kesi Ya Mdude yaahirishwa mbowe Na Mbilinyi Wafika mahakamani
Picha 16 kesi Ya Mdude yaahirishwa mbowe Na Mbilinyi Wafika mahakamani

Picha 16 Kesi Ya Mdude Yaahirishwa Mbowe Na Mbilinyi Wafika Mahakamani Dar es salaam. mahakama ya hakimu mkazi kisutu, imeshindwa kuendelea na ushahidi katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa chadema, akiwemo mwenyekiti wake, freeman mbowe, kutokana na wakili wa washtakiwa hao, peter kibatala kutokuwepo mahakamani. Polisi jijini dar es salam wamewatawanya wafuasi wa chadema ambao walikuwa wamekusanyika nje ya mahakama ya kisutu kufuatilia kesi ya mwenye kiti wa chama hicho freeman mbowe. Makahama kuu nchini tanzani ijumaa itatoa uamuzi wake kuhusu kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa chama cha upinzani chadema, freeman mbowe. picha: ericky boniphace dw. uamuzi huo kuhusu. Mbowe anatarajiwa kufikishwa mahakamani hapo kesho asubuhi kuendelea na kesi hiyo. awali wafuasi wa chadema walionekana nje ya mahakama hiyo wakiwa na mabango yanayosomeka: ‘mbowe sio gaidi’ na pia walikuwa wakipaaza sauti na kusema, ‘katiba mya sio ugaidi’. hata hivyo polisi wamewatawanya kwa nguvu wafuasi hao na baadhi yao kukamatwa.

Comments are closed.